Jamani nini dawa ya mwanamke mkorofi?

Hapo kwenye Red, Watu8 nimecheka mpaka basi. u made my day! kumbe yale wanayosema kina wifi wana-control ndoa za kaka zao sometimes huo ukorofi unatumika kama ''positive therapy' sio?
 
huu ndio mfano wakuigwa EEEEEEEEEEE, kunena kwake ,kutembea kwake, kunaonyesha ni mwanafunzi wa YESU

Utakuwa una ugonjwa wewe......!!!
Basi watu wasinywe dawa wakipata matatizo.....!!!
 
nenda pale chuo kikuu cha dsm/udsm uliza kitengo cha psychology au sociology utapata washauri wazuri sana

au kama dini yako inakuruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja mwambie mapungufu yake tena akishindwa kujirekebisha mwambie unaoa mke wa pili mwenye sifa zilizopungua kwake/ambazo yeye hana ikiwamo hii ya tabia mbaya na dharau kwa majirani na ndugu.
 
chapa makofi mpaka ajambe,au nawe uwe mkorofi sana,ikishindikana fata ushauri wa watu nane.
 
Ulilazimishwa kumuoa au ulimchagua mwenyewe?? Dawa ni kuvumilia au kua mkorofi zaidi yake!
 

Yaani nakubaliana na ushauri huu. Jichunguze na wewe mme.
 
ushauri mwingine kama nguvu za giza
ila mimi nniliwahi kukutwa nahli hii mpaka nikatamani kuiacha ndoa nijaribu busara zote ikawa ngumu nikaamua kuwa mbogo nilimshushia kipondo hatasahau ,nilijickia vibaya kwa sababu nilikuwa nimejiapiza kutompiga wife kamwe lakini baada ya hapo heshima ilirudi 100% mpk leo tunaishi vizuri,ila sikushauri ufanye hivyo mbele ya watoto
 
Inategemea na sababu za yeye kuwa mkorofi,huenda wewe na ndugu zako mwamsakama mtoto wa watu mpaka saa zote anakuwa na stress na kila anayekatiza mbele yake anamwona mbaya,nadhani wewe na ndugu zako mnahusika
 
Dawa yake ndogo sana. Ni mimba kila mwaka. Yaani bandika bandua.
 
Hilo ni pepo lahitaji kukemewa. Mshawishi mwende kwa maombi.
 

mtafutie mke mwezie na jitahidi ajue uone atakavyobadilika
 

hiyo ya performance nasubiri majibu yake then nitarudi
 
maybe atakuwa anamashetani jaribu kumpeleka katika maombi kama ni mkristo na kama muislam mpeleke kwenye dua ujaribu na hayo:A S cry::A S cry::A S cry:
 
Hapo kwenye Red, Watu8 nimecheka mpaka basi. u made my day! kumbe yale wanayosema kina wifi wana-control ndoa za kaka zao sometimes huo ukorofi unatumika kama ''positive therapy' sio?
hahahahahha chizi huyo yan sina mbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…