Jamani nimetapeliwa

Dahh pole sana mkuu, wamekulamba $$ ngapi mbona unaficha
 
siku hizi usajili wa simu ni kwa vidole kama na wewe unataka kumnyoshaa mbona easy tu unampata uyo
 
Mzungu!!! wakati ni huyo huyo jamaa anaongea kingreza kibovu.!
Kwa iyo ulivyopata dili hilo la hela ukakaa kimya hukumwambia mtu ili utajirike peke yako sio!
Nimewaza hivi pia, alijikausha apate machine kimya kimya afungue kiwanda,baada ya mambo kubuma ndyo anatushirikisha, huenda angeshare hilo dili angepewa ushauri na alert asingepigwa.pole yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hapo umetapeliwa nn mbona sion na huyo mama ulimtumia sh ngap?

Ukiamua kuweka vitu public weka kila kitu wax ili watu wajue pakuanzia n wap kwawewe au mwingine
 
wakati ule wa utapeli kwa kupitia pembejeo ulikuwa wapi?
Na itakuwa hukushirikisha watu mbona wangekustua
 


Hapo mzee company profile hustukia mzee ya 2-8 people na yupo 10years mzee
 
Dunia ya sasa unatapeliwa kijinga hivyo?

Ure still have time to learn in this world unaonekana umgeni hata washauri huna..
Washauri ninao ila tekonologia waliyoitoa ilikuwa ya hali ya juu
 
Nashukuru sana kwa somo hili hakika nimejifunza kitu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…