Jamani nimeamua kuokoka

Jamani nimeamua kuokoka

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
997
Reaction score
2,320
Mwaka 2014 nilipita katika misukosuko mingi ikiwemo kukoswa koswa kuuwawa mara kadhaa.. hata hivyo ni Mungu ndie aliyekuwa akinilinda kwa makusudi yake ili nimtumikie na kuwapeleka watu wengi kwa Yesu kupitia kazi yangu.. hivyo jana tar 1/1/2015 nimeamua kumpa Bwana Yesu kuwa mokozi wa maisha yangu.. najisikia amani sana na hofu yote imekwisha..
Mungu awabariki wana JF wote,
happy new year.
 
mi cjamwelewa huyu,unaokoka unajitangaza!thats a personal issue,ushamwambia bibi yako!labda umeHOKOKA
 
nitafanya ikibidi
Hakuna kitu kama hicho ndugu yangu,huko ni kujidanganya na kuwadanganya watu.Huwezi kuwa duniani ukadai umeokoka, suburi siku ya hukumu ndio utajuwa kama umeokoka au umeangamia.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Mwaka 2014 nilipita katika misukosuko mingi ikiwemo kukoswa koswa kuuwawa mara kadhaa.. hata hivyo ni Mungu ndie aliyekuwa akinilinda kwa makusudi yake ili nimtumikie na kuwapeleka watu wengi kwa Yesu kupitia kazi yangu.. hivyo jana tar 1/1/2015 nimeamua kumpa Bwana Yesu kuwa mokozi wa maisha yangu.. najisikia amani sana na hofu yote imekwisha..
Mungu awabariki wana JF wote,
happy new year.

Umefanya la maana mkuu! Kumpa Yesu maisha akusimamie ni jambo la msingi kuliko mambo mengine yote. BWANA YESU ASIFIWE....

lara 1 likes these comments..hilarious...happy new year foe/ally...
 
Pole sana. ila kuokoka ni jambo moja na kuendelea kubaki kwenye uokovu ni jambo jingine. Je utadumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom