Kitty Galore
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 345
- 100
Niliwahi kuleta thread hii hapa
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/161232-how-can-you-let-it-go.html
Huyu kiumbe amekuwa akinipigia simu kuwa hawezi kunisahau, amejitahidi ku let it go but ameshindwa (anavyodai), at the same time he is married, hivi nafanyaje mbona anazidi kunichanganyia habari namna hii?
Nilishamsahau na maisha yakasonga mbele,is he aiming to hurt me?
Nimeshablock namba zake zote lakini anatumia namba tofautitofauti kunipigia.
Hii hali naitatua vipi?
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/161232-how-can-you-let-it-go.html
Huyu kiumbe amekuwa akinipigia simu kuwa hawezi kunisahau, amejitahidi ku let it go but ameshindwa (anavyodai), at the same time he is married, hivi nafanyaje mbona anazidi kunichanganyia habari namna hii?
Nilishamsahau na maisha yakasonga mbele,is he aiming to hurt me?
Nimeshablock namba zake zote lakini anatumia namba tofautitofauti kunipigia.
Hii hali naitatua vipi?