Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,232
- 40,734
Dini Dini Dini Dini ndiyo uchawi wa mzunguNimekuwa nikijiuliza hili swali kwa muda mrefu sasa bila majibu.
Nimekuwa nikisikia kwamba wazungu wanatuzidi akili kila mara mimi binafsi nimekuwa nikipingana na maneno hayo.
Naombeni tusaidiane/mnisaidie endapo kuna kweli wowote kuwa eti wazungu wanatuzidi akili.
Kwasababu
Every systems kwenye dunia hii ni kama zimekuwa invented na wao
For instance
1. Mifumo ya Mahakama (Haki za binadamu)
2. Mifumo ya elimu (Formal Education)
3. Mifumo ya usafirishaji
4. Mifumo ya sayansi na teknolojia kubwa.
5. Mifumo ya Afya
Naskiaga sijui kuhusu IQ hata nisijue IQ ni nini?
Eti kwamba wazungu wana IQ kubwa kuliko sisi?
Wapo watu wanaodiriki kusema Wazungu Walipendelewa na Mungu ndiyo maana wako hivyo pia hata hili sikuwahi kusadifu.