Jamani, ni kweli wazungu wanatuzidi akili?

Jamani, ni kweli wazungu wanatuzidi akili?

zagarinojo

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2020
Posts
2,622
Reaction score
2,865
Nimekuwa nikijiuliza hili swali kwa muda mrefu sasa bila majibu.

Nimekuwa nikisikia kwamba wazungu wanatuzidi akili kila mara mimi binafsi nimekuwa nikipingana na maneno hayo.

Naombeni tusaidiane/mnisaidie endapo kuna kweli wowote kuwa eti wazungu wanatuzidi akili.

Kwasababu

Every systems kwenye dunia hii ni kama zimekuwa invented na wao

For instance

1. Mifumo ya Mahakama (Haki za binadamu)
2. Mifumo ya elimu (Formal Education)
3. Mifumo ya usafirishaji
4. Mifumo ya sayansi na teknolojia kubwa.
5. Mifumo ya Afya

Naskiaga sijui kuhusu IQ hata nisijue IQ ni nini?

Eti kwamba wazungu wana IQ kubwa kuliko sisi?

Wapo watu wanaodiriki kusema Wazungu Walipendelewa na Mungu ndiyo maana wako hivyo pia hata hili sikuwahi kusadifu.
 
Ntakupa muongozo huu..
Toa tafsiri ya akili.. then tambua kuzidi au kupungua kwa akili kukoje,Kisha angalia jamii hizi mbili kutokana na sifa utakazozipata hapo juu then oanisha.. jibu utalipata.
 
Hilo nalo lakuuliza ? Wazungu kitendo cha wao kuwa mbele yetu kwa kila kitu ni kiashilia tosha kuwa wametuzidi akili
wameweza kukushika na kutuaminisha kuwa umetokana na nyani while kwao haiko ovyo(Evolution ni kwa africa sio kwao)
Kukuaminisha kuhusu mungu wao na wewe kutupilia mbali chako na kukipa dhamani chao tena kupelekea mpaka hatua ya kukipigania kufa kupona bado huoni kama wamekuzidi ?
 
Ntakupa muongozo huu..
Toa tafsiri ya akili.. then tambua kuzidi au kupungua kwa akili kukoje,Kisha angalia jamii hizi mbili kutokana na sifa utakazozipata hapo juu then oanisha.. jibu utalipata.
@KENZY mkuu swala la wewe kuanza kuchambua tu hiyo mada, huo mtindo unaouwasikisha na kutaka tuutumie mwanzilishi wake ni socrates sasa jiulize Socrates alikuwa ni mwAfrica?
 
Ni kweli! Walipotuletea dini zao hukuhoji na kupokea kama zuzu
Inashangaza sana hasa unapoona waafrica tunabaguana kwa dini tulizoletewa. Anyway tusitoke nje ya mada, ni kweli wazungu wametuzidi akili
 
Wametuzidi saaana,kubisha nikuidanganya akili na kuidanganya akili ni dhambi,angalia vitu vyao tunavyotumia,bila wao tungekufa na magonjwa,fikilia upasuaji bila ganzi,
 
wazungu sio viumbe sawa na sisi waafrika nawaambieni ukweli idadi kubwa ya wazungu ni majini wachache sana ni binadamu wa kawaida nimeishi nao nimefanyanao kazi ulaya na Amerika nimezunguka nusu ya dunia wazungu sio binadamu kawaida kuwaza kwao, vitendo vyao, sayansi yao, utamaduni wao, usafi wao, uchafu wao wanaweza kumlamba mbwa na kufanya nae mapenzi , ndio wameleta uchafu wote duniani , mazuri na mabaya mengi majini ua yanaona mbali ktk mambo ya kidunia. na angani ndio maana wamegundua ndege na mameli bahalini. wameshindwa kitu kimoja kumrudishia mwanadamu uhai wana angaika usiku na mchana lakini wapi. kwa kuwa yuko Mungu.
 
Wazungu hawajatuzidi akili. Kwa Hilo siwezi kukubali.
Ila walituzidi ujanja wakati Fulani. Wakatuacha hatua Kama moja. Walipofanikiwa hapo wanatumia hiyo advantage kutudidimiza.

Wakaweka mifumo ya kutompa nafasi mtu mweusi/ mwafrika kusogea, isipokua tu pale ambapo yeye karidhia.
 
Haijarishi maana ya akili ni nini.
Lakini jibu ni Hapana hawajatuzidi akili hata kidogo.

Mwili wa binadamu unaweza kufanya chochote, kama ukifanya hicho kitu mara kwa mara basi utakuwa mzoefu na utabobea zaidi kwenye hicho unachokifanya.
Ni kama msuli wa binadamu ambao ni moja ya sehemu za mwili wa binadamu ambapo ukinyanyua chuma kila siku basi msuli utazoea na kutanuka ili uweze kunyanyua hicho chuma vizuri zaidi.
Kama wale viumbe wanaokwenda "gym" kama sijakosea ili kutengeneza misuli mikubwa na matumbo sita ambayo hayana faida.


Pia kila mnyama/kiumbe anabadirika ili kuendana na hali halisi ya mazingira yanayomzunguka huyo kiumbe.
Ni sawasawa unaposema umtoe simba msituni umpeleke antarctica basi huyo simba lazima apate tabu sababu ya baridi hadi kufa au umtoe penguin antarctica umpeleke msituni lazima apate tabu hadi kufa.
Hiyo sababu mazingira hayato support hao viumbe na pia wao si binadamu viumbe ambao nilishataja sifa zao.

Wazungu kilichowabadirisha ni mazingira yao.
Ardhi isiyo na rutuba hivyo ngumu kupata chakula, baridi, misitu michache, mvua chache nk

Hiyo ikampelekea mzungu awe mtu wa kusolve matatizo ili aendelee kuishi, na nilisema juu kwamba mwili wa binadamu unaweza kufanya chochote na ukifanya hicho kitu mara kwa mara basi utakuwa mzoefu na utabobea zaidi kwenye hicho unachokifanya.

Hivyo mzungu kutokana na kusolve matatizo mara kwa mara au kila siku hiyo ikapelekea ubongo wake kubobea kwenye kusolve na unavyozidi kusolve unatengeneza curiosity ambapo utakuwa unagundua matatizo mengi zaidi yanayohitaji ufafanuzi na kutatuliwa.

Hiyo imepelekea ubongo wa mzungu kubobea huko na kuwa mzoefu hali inayopelekea kuwa kuwa kawaida kwa ubongo wa mzungu
kuona tatizo au changamoto kila sehemu ambayo hutodhania kama kuna tatizo au changamoto.

Na mpaka leo anaendelea hivyohivyo na kuendelea kulithishana vizazi kwa vizazi hiyo hali ya ubongo zao.

Na ndio maana mzungu anajiuliza kwanini Apple linidondokee tu bila kuguswa na aina yoyote ya kitu kinachoonekana.

Hivyo mazingira ndiyo yamembadirisha mzungu awe hivyo alivyo.


Kama ilivyo kwa mzungu Africa ni kinyume chake.
Mwafrika mazingira yake ni mepesi kwa asilimia kadhaa kulinganisha na ya mzungu.

Misitu mingi na minene, hali nzuri ya hewa, ardhi yenye rutuba, mvua za kutosha, chakula cha kutosha nk

Mwafrika hakuweza kuona changamoto wala tatizo sababu mazingira yalimrahisishia kwa asilimia karibu 50% ya maisha yake kuendelea kuwepo. hivyo kuendelea kuishi bila ugumu wala changamoto zinazoonekana kirahisi.

Hiyo imepelekea ubongo wa mwafrika kudumaa na kulala sababu haujishuhurishi kufanya chochote kigumu wala kutatua chochote kile.

Hivyo ubongo wa mwafrika umekosa uwezo wa kuona changamoto au tatizo na umekosa curiosity sababu ya mazingira. Mwafrika akawa anaishi tu ili mradi anaexist na kufuata nature.
(Wewe ujiulizi miembe yote iliyoko afrika lakini hakuwahi kutokea mwafrika hata mmoja kujiuliza kwanini Embe linadondoka lenyewe tu bila kuguswa? Au kujiuliza chochote kuhusu chochote kwanini kinafanyika na kwanini kitokee?...

Na mpaka leo bado wanaendeleza hiyo legacy kwa asilimia karibu 95%.

Hivyo mazingira ndiyo yaliyodumaza ubongo wa afrika na si kingine.

Hata hivyo mwanzo kule juu nilisema
Mwili wa binadamu unaweza kufanya chochote, kama ukifanya hicho kitu mara kwa mara basi utakuwa mzoefu na utabobea zaidi kwenye hicho unachokifanya.

Hivyo bado tunaweza kubadirika na kuwa zaidi ya wao kwa kutumia mbinu flani kupingana na mazingira au nature.
 
Back
Top Bottom