Mbwile Classic
Member
- Jul 15, 2013
- 30
- 5
Ni ndugu(binamu) ambaye nimekua naye tangu utotoni mara nyingi likizo alikuwa akija nyumbani muda wote nilikuwa nashinda nae sasa tu watu wazima anakaa nyumban kuna chuo anasoma hapa karibu na home muda mwing anapenda kuingia chumbani kwangu,tunapo ongea anapenda kunisogelea zero distance, koch ntakalo kaa nae anataka akae vituko ving xana ananifanyia na mie naogopa kwa vle ni ndugu yangu nisaidien nifanye nini wana JF