Jamani naombeni ushauri kwa hili

Jamani naombeni ushauri kwa hili

Inamaana hata siku ya kwenda kutoa mahali utakuja kuuliza kama utoe au usitoe?

BTW,kutoa ni moyo, toa kulingana na uwezo wako, kuwa sehemu ya msada sio mbaya.
 
Inamaana hata siku ya kwenda kutoa mahali utakuja kuuliza kama utoe au usitoe?

BTW,kutoa ni moyo, toa kulingana na uwezo wako, kuwa sehemu ya msada sio mbaya.
mahali ni swala.lingine hilo mkuu
 
tuma tu kaka pesa ni maua ndugu,kutoa ni moyo hata kama haitakuwa imefika kwa mlengwa.
 
Uyo mm mkwe mtarajiwa nae, kazunguka kooote kaangukia kwako ambako hata hana uakika kama utakua mkwe kweli.Anywei msaidie tu.
 
Uyo mm mkwe mtarajiwa nae, kazunguka kooote kaangukia kwako ambako hata hana uakika kama utakua mkwe kweli.Anywei msaidie tu.

ushaur wako nitaufanyia kazi mkuu
 
Huyo mama mkwe anajua mila na tamaduni za kiafrika au ndiyo kuendekeza uswahili na njaa.........
 
kaka kwa mama mkwe tena usichelewe tuma fasta kaka unawasiwasi gan?hizo kwenye mahari unazikata kama akikupangia mahari M.1,na ulimtumia labda laki inabidi umpe laki tisa.kiroho safi mtumie
 
kaka kwa mama mkwe tena usichelewe tuma fasta kaka unawasiwasi gan?hizo kwenye mahari unazikata kama akikupangia mahari M.1,na ulimtumia labda laki inabidi umpe laki tisa.kiroho safi mtumie

Tatizo naona kama mapema sana kunipga kizinga maana hata mwezi bado mkuu
 
Tatizo naona kama mapema sana kunipga kizinga maana hata mwezi bado mkuu
kaka watu wa kusini nawajua vizur wanashida sana kule,My bro kaoa huko ni noma sanaaa...aisee sometime najuta kuwafahamu
 
Sasa kwani shida iko wapi hapo si mtumie Mkweo hela.
 
Kama ndio utakayemuoa mtumie huyo mama mkwe huo mpunga, ndio muda wa kujipatia sifa hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom