Milale
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 494
- 189
Habar wa wanajf, mimi kuna mschana nimetokea kumpenda anaishi dar na mm pia naish dar,ila yy wazaz wake wako masasi mtwara;Sasa yeye kawambia ndugu zake wote kuwa kapata mchumba,sasa mama yake na huyu msichana ananipigiaga cm mara kw mara, sasa leo mama yake kanipigia cm kuwa anashida ya pesa eti tumbo linamuuma,je nimtumie au nifanyeje?naomben ushaur wenu wana jamvi