EveningStar
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 262
- 162
Habari zenu wanaJF wenzangu,
Mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 29, nipo DSM, elimu yangu ni shahada ya kwanza ya sayansi ya chakula na teknolojia, muaminifu na mchapakazi.
Nimetafuta kazi kwa muda mrefu sana pasipo mafanikio, jamani mimi nina shida kubwa sana, kwanza sina sehemu ya kuishi, ninalala ukumbini kwa ndugu, chakula ni kwa shida pia.
Jamani naombeni kwa yeyote yule mwenye kazi yoyote halali ikiwemo kazi za ndani nipo tayari kuifanya bila kujali elimu yangu. Kwahiyo naombeni mnisaidie jamani, mimi kwasasa nataka kazi bila kujali malipo ya aina gani, kikumbwa nipate tu pakulala na chakula kwa maana nimechoka kulala ukumbini jamani maana tangu 2015, nilipomaliza chuo, sasa nimechoka jamani nisaidieni.
Mawasiliano yangu, 0758 106 501
Ahsanteni na MUNGU awabariki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 29, nipo DSM, elimu yangu ni shahada ya kwanza ya sayansi ya chakula na teknolojia, muaminifu na mchapakazi.
Nimetafuta kazi kwa muda mrefu sana pasipo mafanikio, jamani mimi nina shida kubwa sana, kwanza sina sehemu ya kuishi, ninalala ukumbini kwa ndugu, chakula ni kwa shida pia.
Jamani naombeni kwa yeyote yule mwenye kazi yoyote halali ikiwemo kazi za ndani nipo tayari kuifanya bila kujali elimu yangu. Kwahiyo naombeni mnisaidie jamani, mimi kwasasa nataka kazi bila kujali malipo ya aina gani, kikumbwa nipate tu pakulala na chakula kwa maana nimechoka kulala ukumbini jamani maana tangu 2015, nilipomaliza chuo, sasa nimechoka jamani nisaidieni.
Mawasiliano yangu, 0758 106 501
Ahsanteni na MUNGU awabariki!
Sent using Jamii Forums mobile app