kazuri kakid
Member
- Oct 6, 2021
- 15
- 118
Mko pouah? Mimi nina mpenzi wangu tuna miaka 3 sasa, ni naibu waziri wa wizara Fulani apa nchini. Sasa jana asubuhi ulitokea ugomvi baina yetu, kwa hasira ktk kujitetea nikamuwai kwenye kende zake, nikampiga kateke kadogo tu,akaanguka.nikajua nimeua.
Sikuweza kurudi mpaka mda huu na niliondoka tokea iyo asubuhi, atujaongea chochote mpaka mda huu, ila nimemdadisi mfanya kazi wa getini kasema alimuona anatoka nje iyo jioni, manake aliamka na ni mzima kumbuka ugomvi ulifanyika chumbani.
Jaman tafadhalin nawaomben, mm ni msichan mtulivu tu ilikuwa ni bahati mbaya tu
Sikuweza kurudi mpaka mda huu na niliondoka tokea iyo asubuhi, atujaongea chochote mpaka mda huu, ila nimemdadisi mfanya kazi wa getini kasema alimuona anatoka nje iyo jioni, manake aliamka na ni mzima kumbuka ugomvi ulifanyika chumbani.
Jaman tafadhalin nawaomben, mm ni msichan mtulivu tu ilikuwa ni bahati mbaya tu