Jamani nani kaniroga?

Jamani nani kaniroga?

mwitasa

Senior Member
Joined
Dec 28, 2013
Posts
199
Reaction score
491
Nimekuwa na maisha magumu kwa huruma . Nafanya kazi ila mshahara wangu wanaishia kufaidi ndugu zangu na watu wengine.

Ndugu zangu wamekuwa kila wakati watu wa kunililia shida tu na zote zinaishia kuhitaji hela na shida huongezeka zikikaribia tarehe za mwisho wa mwezi nami nimeshindwa namna ya kuachana nao japo mshahara wangu ni mdogo

Nilijaribu kubadili namba ya simu nikajikuta nakuwa mpweke sipati msg wala mtu wa kunibeep nikajikuta narudisha line ya zamani.

Kibaya zaidi mimi nikikutana na mtu hata nisie mfahamu akinililia shida hata kama sina kitu mfukoni najikuta nimeenda hata kukopa ili kutatua tatizo lake nabaki kulipa madeni

Huwezi amini kuna siku naishiwa hela kiasi cha kuishi kwa mlo mmoja hata wakati mwingine kukoswa nauli ya kazini naamua kukatiza kwa mguu kariakoo kimara ila kesho yake nikipata hela mtindo ni huo huo

Jamani basi alieniroga aniache imetosha basi maana hii si huruma tena aniachie walau nifanye kitu cha maendeleo kunisaidia la kesho. Ushauri wenu wana jf
 
Ninashida ya buku tano nitakurudishia tar 15 mwez wapili. Please

Aisee jamani namimi asinisahau, tafadhali embu fanya chap kanikopee bank mkuu nataka mtaji wa biashara,tafadhali ni PM nikuelekeze jinsi ya kutuma hiyo hela
 
Nimekuwa na maisha magumu kwa huruma . Nafanya kazi ila mshahara wangu wanaishia kufaidi ndugu zangu na watu wengine.

Ndugu zangu wamekuwa kila wakati watu wa kunililia shida tu na zote zinaishia kuhitaji hela na shida huongezeka zikikaribia tarehe za mwisho wa mwezi nami nimeshindwa namna ya kuachana nao japo mshahara wangu ni mdogo

Nilijaribu kubadili namba ya simu nikajikuta nakuwa mpweke sipati msg wala mtu wa kunibeep nikajikuta narudisha line ya zamani.

Kibaya zaidi mimi nikikutana na mtu hata nisie mfahamu akinililia shida hata kama sina kitu mfukoni najikuta nimeenda hata kukopa ili kutatua tatizo lake nabaki kulipa madeni

Huwezi amini kuna siku naishiwa hela kiasi cha kuishi kwa mlo mmoja hata wakati mwingine kukoswa nauli ya kazini naamua kukatiza kwa mguu kariakoo kimara ila kesho yake nikipata hela mtindo ni huo huo

Jamani basi alieniroga aniache imetosha basi maana hii si huruma tena aniachie walau nifanye kitu cha maendeleo kunisaidia la kesho. Ushauri wenu wana jf
We hujarogwa, ni huruma za kingese ndo zinakusumbua. Waote huwa tunasaidia ndug, lakini wengin kabla ya kusaidia huwa tunajiuliza yafuatayo..
1. Hiyo shida ninayoliliwa inauwa..???
2. Kuna sababu zozote msingi kutoa hapo hapo ukiombwa kama vile button ya ENTER kwenye kompyuta...???
3. Kuna wangapi wanaoweza kumsaidia mwombaji zaidi yangu...???
4. Mara ya ngapi mwombaji ananililia shida..???
5. Huyo mwombaji, ameshawahi kunisaidia ninapokuwa nina shida...???
6. Kwa kumsadia mwombaji, vitu gani nitavikosa...??? Maana wema wa mshumaa nao ni ufala tu. Siwezi kumulikia wengine wakati mimi nayeyuka
7. Nina uhusiano gani na mwombaji..???

NB: epuka sana kuombwa na kutoa hapo hapo, hata ATM huwa inaishiwa au wakati mwingine inameza kadi au inasitisha huduma kwa muda..
 
Well said....


We hujarogwa, ni huruma za kingese ndo zinakusumbua. Waote huwa tunasaidia ndug, lakini wengin kabla ya kusaidia huwa tunajiuliza yafuatayo..
1. Hiyo shida ninayoliliwa inauwa..???
2. Kuna sababu zozote msingi kutoa hapo hapo ukiombwa kama vile button ya ENTER kwenye kompyuta...???
3. Kuna wangapi wanaoweza kumsaidia mwombaji zaidi yangu...???
4. Mara ya ngapi mwombaji ananililia shida..???
5. Huyo mwombaji, ameshawahi kunisaidia ninapokuwa nina shida...???
6. Kwa kumsadia mwombaji, vitu gani nitavikosa...??? Maana wema wa mshumaa nao ni ufala tu. Siwezi kumulikia wengine wakati mimi nayeyuka
7. Nina uhusiano gani na mwombaji..???

NB: epuka sana kuombwa na kutoa hapo hapo, hata ATM huwa inaishiwa au wakati mwingine inameza kadi au inasitisha huduma kwa muda..
 
Umejiroga mwenyewe jomba kwa kujifanya wewe uliumbwa na Mungu kuja kutatua shida za watu. Hata mitume na manabii wangekuwa kama wewe sijui kama wangetimiza wajibu wao.
 
kusaidia ndugu kung muda wake, na sio kila shida unasaidiwa, Je huna familia yako ?
 
Msimlaumu huwa hawapi ndugu ila MADEM. HUYU JAMAA NI MOTO CHINI. akiona makalio ya kinamama midomo inacheza cheza. acha aumie
 
We hujarogwa, ni huruma za kingese ndo zinakusumbua. Waote huwa tunasaidia ndug, lakini wengin kabla ya kusaidia huwa tunajiuliza yafuatayo..
1. Hiyo shida ninayoliliwa inauwa..???
2. Kuna sababu zozote msingi kutoa hapo hapo ukiombwa kama vile button ya ENTER kwenye kompyuta...???
3. Kuna wangapi wanaoweza kumsaidia mwombaji zaidi yangu...???
4. Mara ya ngapi mwombaji ananililia shida..???
5. Huyo mwombaji, ameshawahi kunisaidia ninapokuwa nina shida...???
6. Kwa kumsadia mwombaji, vitu gani nitavikosa...??? Maana wema wa mshumaa nao ni ufala tu. Siwezi kumulikia wengine wakati mimi nayeyuka
7. Nina uhusiano gani na mwombaji..???

NB: epuka sana kuombwa na kutoa hapo hapo, hata ATM huwa inaishiwa au wakati mwingine inameza kadi au inasitisha huduma kwa muda..

Asante jamani kwa ushaur mzuri sasa nikipindi cha kufanya mabadiliko kwa kweli
 
Inaonekana unawaonea aibu hao wanaokuomba msaada, vaa sura ya mbuzi wataacha wenyewe kuomba.
 
pole sana jombaa,kama unataka mafanikio lazima uwe katili,mnyonyaji,mjanjajanja,bahili,rohombaya.(giant black capitalist) enzi za huruma hakuna ck hizi,mimi nilikuwa hivyo hivyo 4 seven yrs of ma job.nilipopigwa chini walinikimbia wote niliwasaidia
 
Heee jifunze kua bahili mara moja maana ipo siku utakua na shida hutapata wa kukusaidiaa
 
Nachojua Mimi ndugu wanarudishana nyuma Sana hasa ukiwaendekeza na mwisho wa siku wanakucheka huendelei unalifahamu ili neno SINA litumie maishani mwako na hili kubali kuitwa BAHILI ili mamboyako yaende maana najua hao ndugu hawata kusaidia zaidi ya kuja msibani kwako tu
 
We hujarogwa, ni huruma za kingese ndo zinakusumbua. Waote huwa tunasaidia ndug, lakini wengin kabla ya kusaidia huwa tunajiuliza yafuatayo..
1. Hiyo shida ninayoliliwa inauwa..???
2. Kuna sababu zozote msingi kutoa hapo hapo ukiombwa kama vile button ya ENTER kwenye kompyuta...???
3. Kuna wangapi wanaoweza kumsaidia mwombaji zaidi yangu...???
4. Mara ya ngapi mwombaji ananililia shida..???
5. Huyo mwombaji, ameshawahi kunisaidia ninapokuwa nina shida...???
6. Kwa kumsadia mwombaji, vitu gani nitavikosa...??? Maana wema wa mshumaa nao ni ufala tu. Siwezi kumulikia wengine wakati mimi nayeyuka
7. Nina uhusiano gani na mwombaji..???

NB: epuka sana kuombwa na kutoa hapo hapo, hata ATM huwa inaishiwa au wakati mwingine inameza kadi au inasitisha huduma kwa muda..
Yan father umemaliza yan apa ninalia mamb hayaendi mana nimekopesha watu wamepleka watoto shule bt me nimebak na njaa nataman nicngetoa
 
umejiloga mwenyewe kwa kukosa maamuzi rafiki.... anza kijiondo kilogo chako kwakuwana msimamo na maamuzi na bajeti
 
Inawezekana ikawa ngumu kusitisha kusaidia ndugu, basi walau jipangie hautasaidia kwa zaidi ya 25% ya mshahara wako, na iwe shida kweli sio mtu anataka akachange kwenye kitchen party
 
Back
Top Bottom