mwitasa
Senior Member
- Dec 28, 2013
- 199
- 491
Nimekuwa na maisha magumu kwa huruma . Nafanya kazi ila mshahara wangu wanaishia kufaidi ndugu zangu na watu wengine.
Ndugu zangu wamekuwa kila wakati watu wa kunililia shida tu na zote zinaishia kuhitaji hela na shida huongezeka zikikaribia tarehe za mwisho wa mwezi nami nimeshindwa namna ya kuachana nao japo mshahara wangu ni mdogo
Nilijaribu kubadili namba ya simu nikajikuta nakuwa mpweke sipati msg wala mtu wa kunibeep nikajikuta narudisha line ya zamani.
Kibaya zaidi mimi nikikutana na mtu hata nisie mfahamu akinililia shida hata kama sina kitu mfukoni najikuta nimeenda hata kukopa ili kutatua tatizo lake nabaki kulipa madeni
Huwezi amini kuna siku naishiwa hela kiasi cha kuishi kwa mlo mmoja hata wakati mwingine kukoswa nauli ya kazini naamua kukatiza kwa mguu kariakoo kimara ila kesho yake nikipata hela mtindo ni huo huo
Jamani basi alieniroga aniache imetosha basi maana hii si huruma tena aniachie walau nifanye kitu cha maendeleo kunisaidia la kesho. Ushauri wenu wana jf
Ndugu zangu wamekuwa kila wakati watu wa kunililia shida tu na zote zinaishia kuhitaji hela na shida huongezeka zikikaribia tarehe za mwisho wa mwezi nami nimeshindwa namna ya kuachana nao japo mshahara wangu ni mdogo
Nilijaribu kubadili namba ya simu nikajikuta nakuwa mpweke sipati msg wala mtu wa kunibeep nikajikuta narudisha line ya zamani.
Kibaya zaidi mimi nikikutana na mtu hata nisie mfahamu akinililia shida hata kama sina kitu mfukoni najikuta nimeenda hata kukopa ili kutatua tatizo lake nabaki kulipa madeni
Huwezi amini kuna siku naishiwa hela kiasi cha kuishi kwa mlo mmoja hata wakati mwingine kukoswa nauli ya kazini naamua kukatiza kwa mguu kariakoo kimara ila kesho yake nikipata hela mtindo ni huo huo
Jamani basi alieniroga aniache imetosha basi maana hii si huruma tena aniachie walau nifanye kitu cha maendeleo kunisaidia la kesho. Ushauri wenu wana jf