Dah dogo kiukwel humu hapakufai, humu ni kwa wale wakubwa, kwanini ujisumbue na madem mdg wng hawa wapo siku zote tumeumbiwa sisi, piga kitabu dogo, kawambwa mwenyewe hatabirik cku izi, itabidi tubandike tangazo humu kuwa 'NOT USED FOR THE PEOPLE UNDER THIRD YEAR '