Jamani nakosea wapi?

Ndugu WhatsApp namba ni ya kwake, ww uangalie na kusoma inakuhusu nini mpaka unaanza kufungua Internet.

Sasa nenda kaomba msamaah lakini tambua unaibiwa hapo.

Mapenzi ni hatari sana
Mimi niliwasha data kwa matumizi yangu mengne ya mtandao hayo ya whatsapp yamekuja tu baadae
 
Sema na moyo wako my friend
 
Pole mkuu

Chukua maamuzi mwenyewe sisi hatuwezi kukushauri chochote siku zote maamuzi yana wewe mwenyewe
 
Simu kasema haitaki tena...!! Uza mkuu ukanywe bia upoze machungu yakuchapiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…