Mu congomani
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 608
- 2,804
Jambo kwa jumla mimi nikijana wa miaka 20 meno yangu yana rangi mbaya sa kama kuna mtu umu ana fahamu dawa ya kungarisha meno aniambiye
Onana na Dentist hiyo ndo kazi yao.Jambo kwa jumla mimi nikijana wa miaka 20 meno yangu yana rangi mbaya sa kama kuna mtu umu ana fahamu dawa ya kungarisha meno aniambiye
Onana na Dentist hiyo ndo kazi yao.
Angalia kama huyu yalivyokua na yalivyo baada ya kusafishwa.