St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,994
- 5,233
Hii imeanza lini?nae kaoteshwa au mganga wa jadi?kama ni kweli basi tusubiri tuone tunakoelekea na haya matibabu
God help us!!!tutalishwa mpaka ma*i sasa!
Ndugu zanguni hebu tuitazame vizuri hii picha na kuitafakari,hawa ni wagonjwa kweli au ni wahuni tu wamekusanywa ili kumfanyia matangazo kijana??
Ndugu zanguni hebu tuitazame vizuri hii picha na kuitafakari,hawa ni wagonjwa kweli au ni wahuni tu wamekusanywa ili kumfanyia matangazo kijana??
jamani mbavu zangu, kuna bonge moja baa zima kabisa nalo kwenye foleni, hakianani
swali: alikuwa wapi siku zote? mpaka anakuja kipindi hiki baada ya babu!