RICARDO KAKA
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 865
- 337
vipi lakini anakufikisha kileleni? tuanzie hapo kwanza..........!!!!!!!!!!!!
Dah... unajua mi nilikuwa najipanga lakini. Kila siku naingia PM nishushe mistari, but mdomo ulikuwa mzito...
are we chit chatting au??
Hapa ntajua wasiolipenda pendo letu...
Hata nimebadili nimepata dili leo nitanunua Subaru i think ntakuachia ile Verossa yangu...haya waache sasa waseme!
vipi lakini anakufikisha kileleni? tuanzie hapo kwanza..........!!!!!!!!!!!!
Noooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
its realy love meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Nitafurahije!!!!Nikiona nashindwa kuvumilia kabisa nitakualika uchukue jumlajumla usikonde best hata wewe
Juzi kati kwenye majira ya jioni tumekaa tunasubiri msosi akaniangalia na kunikodolea macho
kisha akasema mwenyewe kupitia kinywa chake "My love barafu wa moyo wangu
unataka nikufanyie nini ili uone nakupenda japokuwa nimekuwa mtu nisiyemwaminifu? maneno
haya aliyatamka yeye mwenyewe kwani aliona anavyonifanyia na kunipa stress kila wakati
ingawaje nilishamwambia kuhusu tabia yake ya kicheche na kutamanni wanawake wa nje.
Nikamwangalia kwa macho maangavu na yenye mvuto wa mapenzi kisha nikamwambia
niletee au nipe chochote upendacho, mume wangu laaziz wangu Mentor wa maisha
Akaniangalia na kusema kuwa nitakununulia gari aina ya VITZ (sijui kama nimedanganywa hapa)
ila moyoni nilijawa na furaha na nilifurahia nikamrukia na kumpa kiss la agape, kwa furaha niliyonayo
japokuwa ..............bado ANANIPENDA jamani mpaka nikasahau machungu, manyanyaso yote hapa
nilipo nasubiri huo muujiza utendeke nipate kufurahi na kuwa mwenye kicheko ndani ya ndoa yangu
waungwana je mmelionaje hili?
real love na vitz wapi na wapi!
yani we hutoi msamaha na kufurahia penzi lako mpk utembeleee kiuno??
cha!ntarudi baadae!
Nafikiri zawadi ya maana zaidi toka kwake ingekuwa kuwa mwaminifu katika ndoa yenu na aache tabia ya kutamani wanawake nje ya ndoa yake, maana huu ukicheche wake, asije akakuletea zawadi ya VITZ ikiambatana na magonjwa mengine, lol! Ila siombei itokee hivyo, nimewaza kipuuzi tu!
kazi ipo!jamani yashakuwa hayo tena hivi unaujua upendo wewe au unausikia? ukiona mpaka nimetoa thread hii ujue ni upendo wangu kwake na nimemsamehe mara ngapi, hvi hujui kuwa mwanaume akitaka kuomba msamaha kwa mkewe kama amemkosea huwaga anatoa zawadi iwe kubwa au ndogo ilimradi tu aone amesamehewa ana mwandani wake? hivyo ndo ujue kuwa laazizi wangu ananiomba msamaha kwa kunipa zawadi aone furaha yangu ikirudi tena napenzi letu likichanua kama ua ridi la hapo awali, kwani mumeo hakufanyii hivi? sasa tambua kuwa hapo ndo wanaombaga msamaha kwa wake zao kwa style hii kwao kusema kwa maneno ni ngumu ni vitendo au naongoppa kwa haya maneno niliyotext hapa ndugu zangu Filipo, Nicas Mtei, Bujibuji, Mtambuzi, ruttashobolowa Mr Rocky, stevoh, watu8 na kaka yangu Erickb52 hapa
nashukuru kwa huu ushauri wako na kunitakia heri mwenzio maana huyu mume wangu nampenda sana ila tatizo ndo hiyo kicheche sijui nimpeleke kwa padri akamwombee au nifanyeje best maana naona nitaambukizwa hivihivi najiona wewe ungekaa hapa kwetu ungeona vitimbi ninavyofanyiwa ungeondoka mapema mchana kweupe, nisaidie nifanyeje
kazi ipo!
nitafurahi sana kama utaniachia Verossa kwani nabaki kulikodolea macho tuuuu wala silienjoy acha walie na vijiba vya roho, Nimekusamehe laaziz wangu unayenipa usingizi wa hamu na kuona kuwa naji...................... kwako, ila naomba achana na hao wanawake zako akina vivian, Catherine na huyo bidada mdogo Mrembo by Nature plssssssssssssssssssssssss unaniua roho ati
mapito dawa yake utulivu na uvumilivu!!!
Pole sana dada.
Jambo la kwanza ongea naye, muweke wazi kuwa kwakuwa ameoa hana budi kuachana na wa nje
Jambo la pili jichunguze wewe huenda ukawa ni chanzo cha tatizo " utapata majibu mtakapo zungumza na kuboresha ndoa yenu"
La tatu, ukitambua kama siyo chanzo cha tatizo, hebu ingiza unatembea na mtu mwingine.
Matatizo ya ndoa humalizwa na wanandoa!
Nishajitoa kwenye SACCOS zenu mapemaaaaaaaaaaaaa, na maradhi haya nani awe SACCOS, kwanza nasikia wewe ladyfurahia una mahusiano meeengi. Kwanza Mentor aatakuwa wa kushindanisha?heri hata angekluwa Erickb52 sawa