Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,315
- 1,186
Habarini za kuuona mwaka 2024, siyo kwa akili zetu Bali ni Neema ya MUNGU tu. Hatuna budi kumshukuru MUNGU wetu.
Basi me nafungua na uzi huu wa Jambo ambalo limenipa mashaka huenda labda nimepata madhara kwa hili.
Nimiaka kadhaa imepita biblia inasema enzi za ujinga, nilikutana na binti mmoja ambae tilikuwa katika mahusiano nakumbuka nilikuwa kati ya miaka 19 ama 20. Basi siku tumeendeleaa hatimae ikafika wakati tukaelewana kuhusu tendo binti akasema tutumie kondom, Basi nami nikaandaa kama kawaida.
KIINI CHA MAADA
Basi akawa kaja geto kwangu nami nikawa nimeandaa condom basi tukaanza Romance mpaka pale ilipofikia nikavaa condom tikaendelea na mambo mengine, nakumbuka nilichelewa kuichomoa condom uume ukalegea na condom nikiwa bado nimeivaa.
TATIZO
Baada ya siku kadhaa niliona chini kidogo ya shina la uume kuna round iliyozunguka pale ilipoishia kondom, mpaka sasa naona kuna alama ya kubanwa iliyosababishwa na kile kimpira cha condom. Kama kuna dawa ya kupainua palipo banwa waungwana mniekeze palingane!
NB: Kipindi hicho nilikuwa sijaokoka bado, usije kuhukumu kwamba mwanadini na uasherati.
Je,hii hali itakuwa na madhara katika ufanyaji wangu wa tendo? Msaada wenye ujuzi na hili swala wakuu maana Nina hofu.
Ili kama kuna msaada nilitatue mapeema!!
Bwana awabariki
Basi me nafungua na uzi huu wa Jambo ambalo limenipa mashaka huenda labda nimepata madhara kwa hili.
Nimiaka kadhaa imepita biblia inasema enzi za ujinga, nilikutana na binti mmoja ambae tilikuwa katika mahusiano nakumbuka nilikuwa kati ya miaka 19 ama 20. Basi siku tumeendeleaa hatimae ikafika wakati tukaelewana kuhusu tendo binti akasema tutumie kondom, Basi nami nikaandaa kama kawaida.
KIINI CHA MAADA
Basi akawa kaja geto kwangu nami nikawa nimeandaa condom basi tukaanza Romance mpaka pale ilipofikia nikavaa condom tikaendelea na mambo mengine, nakumbuka nilichelewa kuichomoa condom uume ukalegea na condom nikiwa bado nimeivaa.
TATIZO
Baada ya siku kadhaa niliona chini kidogo ya shina la uume kuna round iliyozunguka pale ilipoishia kondom, mpaka sasa naona kuna alama ya kubanwa iliyosababishwa na kile kimpira cha condom. Kama kuna dawa ya kupainua palipo banwa waungwana mniekeze palingane!
NB: Kipindi hicho nilikuwa sijaokoka bado, usije kuhukumu kwamba mwanadini na uasherati.
Je,hii hali itakuwa na madhara katika ufanyaji wangu wa tendo? Msaada wenye ujuzi na hili swala wakuu maana Nina hofu.
Ili kama kuna msaada nilitatue mapeema!!
Bwana awabariki