Jamani mtandao wa vodacom vipi?

Jamani mtandao wa vodacom vipi?

DR. PHONE

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2012
Posts
504
Reaction score
91
Yaani ni shida tupu toka juzi jumamosi yaani nina kihela changu kipo kwenye M-PESA toka jumamosi siwezi kukitoa yaani utadhani nipo kwenye foleni ATM ya NMB.

Voda tusaidieni jamani tunateseka sana!
 
Yaani ni shida tupu toka juzi jumamosi yaani nina kihela changu kipo kwenye M-PESA toka jumamosi siwezi kukitoa yaani utadhani nipo kwenye foleni ATM ya NMB. Voda tusaidieni jamani tunateseka sana!!!!

Matatizo mengine mnajitakia wenyewe, njoo "yatosha"
 
Every Network in Tanzania ni upuuzi mtupu kama hao Voda mie binafsi nlikua nawaaminia sana kumbe hawana tofauti na wale wengine yani ni ujinga mtupu halafu mbaya zaidi bado wanaadvertise mtu aingie M-pawa sijui nini ni upuuzi mtupu...poleni mlio na vijihela huko kwani nami nimeipata joto ya jiwe kuna jamaa alikua ananitumia kisenti cha kunipa kiburi mtaani si kimerudi kwake kisa mizinguo ya Vodaa upuuzi mtupu!!!
 
Voda kuna tatizo kidogo katika huduma ya m-pesa ila mafundi wetu wanaendelea kuhakikisha tatizo linaisha mapema iwezekanavyo. samahani kwa usumbufu...Kwa maelezo zaidi piga 100 huduma kwa wateja
 
Back
Top Bottom