Ngurubhe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,840
- 1,049
Habari jamani!
Ndugu zangu niombe tu niseme hapa labda huenda stress zangu zikaisha au mkaongea chochote kati ya mtakavyoongea kikanisaidia.
Bila kuwa na maelezo mengi ni kuwa nina demu wangu huu ni mwaka wa saba sasa, lakini hata sjui tatzo nini,pamoja na kumpenda sana,kumskiliza na kumcare kadilibys uwezo wangu,ni mara chache sana amekuwa pia akinifanyia hayo.
Tunaishi mbali kidogo yeye yupo mkoa mwingne na mim japo huwa tunatembeleana inapobidi.
Pamoja na kuwa ndie mrembo ninaempenda sana lakini amekuwa akinipa wasiwasi kwa matusi hasa pale anapokuwa kuna kitu kakosea ukitaka tu kumsema au kumshauriHbari jamn,dungu zangu niombe tu niseme hapa labda huenda stress zangu zikaisha au mkaongea chochote kati ya mtakavyoongea kikanisaidia.
Bila kuwa na maelezo mengi ni kuwa nina demu wangu huu ni mwaka wa saba sasa,lakini hata sjui tatzo nini,pamoja na kumpenda sana,kumskiliza na kumcare kadilibys uwezo wangu,ni mara chache sana amekuwa pia akinifanyia hayo.
Tunaishi mbali kidogo yeye yupo mkoa mwingne na mim japo huwa tunatembeleana inapobidi.
Pamoja na kuwa ndie mrembo ninaempenda sana lakini amekuwa akinipa wasiwasi kwa matusi hasa pale anapokuwa kuna kitu kakosea ukitaka tu kumsema au kumshauri, daaa matusi hayo kama mvua ya mawe! Lakini pia angependa umskilize zaidi wakati kitu hikohiko yeye anaweza asikuskilize na hata anadiriki kusema "sifanyi"!
Nimekuwa navumilia sana lakini kadri sku zinavyokuja naona moyo wangu unavunjika katika vipande vipande ukizingatia yupo chuo na anamaliza miezi michache tu inayokuja.
Pamoja na kero zingine zote lakini hili la kutukana, kutaka kunipanda kichwani na kutaka kuwa cared wakati yeye doesn't care, Je anafaa kuwa mke huyu kweli au sio fungu langu?
Ndugu zangu niombe tu niseme hapa labda huenda stress zangu zikaisha au mkaongea chochote kati ya mtakavyoongea kikanisaidia.
Bila kuwa na maelezo mengi ni kuwa nina demu wangu huu ni mwaka wa saba sasa, lakini hata sjui tatzo nini,pamoja na kumpenda sana,kumskiliza na kumcare kadilibys uwezo wangu,ni mara chache sana amekuwa pia akinifanyia hayo.
Tunaishi mbali kidogo yeye yupo mkoa mwingne na mim japo huwa tunatembeleana inapobidi.
Pamoja na kuwa ndie mrembo ninaempenda sana lakini amekuwa akinipa wasiwasi kwa matusi hasa pale anapokuwa kuna kitu kakosea ukitaka tu kumsema au kumshauriHbari jamn,dungu zangu niombe tu niseme hapa labda huenda stress zangu zikaisha au mkaongea chochote kati ya mtakavyoongea kikanisaidia.
Bila kuwa na maelezo mengi ni kuwa nina demu wangu huu ni mwaka wa saba sasa,lakini hata sjui tatzo nini,pamoja na kumpenda sana,kumskiliza na kumcare kadilibys uwezo wangu,ni mara chache sana amekuwa pia akinifanyia hayo.
Tunaishi mbali kidogo yeye yupo mkoa mwingne na mim japo huwa tunatembeleana inapobidi.
Pamoja na kuwa ndie mrembo ninaempenda sana lakini amekuwa akinipa wasiwasi kwa matusi hasa pale anapokuwa kuna kitu kakosea ukitaka tu kumsema au kumshauri, daaa matusi hayo kama mvua ya mawe! Lakini pia angependa umskilize zaidi wakati kitu hikohiko yeye anaweza asikuskilize na hata anadiriki kusema "sifanyi"!
Nimekuwa navumilia sana lakini kadri sku zinavyokuja naona moyo wangu unavunjika katika vipande vipande ukizingatia yupo chuo na anamaliza miezi michache tu inayokuja.
Pamoja na kero zingine zote lakini hili la kutukana, kutaka kunipanda kichwani na kutaka kuwa cared wakati yeye doesn't care, Je anafaa kuwa mke huyu kweli au sio fungu langu?