kama unavyosema zimesambaa, nadhani ni uchakachuajitu! kibaya ni kua wananchi pale mwanza washawaweka watu wao na hawatakia kusikia lolote toka kwa yeyote.Aaangalie asijesababisha dam kumwagika.
kama CCM inataka amani Tanzania wasije wakachakachua hata kura moja kwa maana watu wa Mwanza wamekuwa makini sana na sasa hivi wamejaa jiji wakisubiria matangazo. Wanajua vizuri jumla ya kura za Slaa Mwanza, sasa wasije wakthubutu kabsaaaaaaaaaa kama bado wanaihitaji amani!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.