Jamani mkopo wa haraka

Jamani mkopo wa haraka

KAOROGOMA

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2015
Posts
515
Reaction score
827
Ndugu Zangu Nimekuwa Na Shida Ya Haraka Kidogo.

Naomba Mwenye Uwezo Wa Kunipatia Tsh 600,000 Ntampatia Baada Ya Mwez Mmoja Tshs 800,000.

Dhamana Ni Vyeti Vyangu Vya Sekondari Mpaka Chuo Kikuu.

Note, Utakuwepo Utaratibu Wa Kuhakikisha Usalama Wa Hela Yake Na Inarud Kwa Muda Muafaka, Pia Naye Atunze Vyeti Kwa Umakini.

Asante.
 
ndugu hela zipo tatizo ni hiyo collateral yako, endapo utatokomea na hiyo hela nitauza wapi hivo vyeti kurudisha hela yangu?
 
ndugu hela zipo tatizo ni hiyo collateral yako, endapo utatokomea na hiyo hela nitauza wapi hivo vyeti kurudisha hela yangu?

Kaka Usiogope Mi Siwez Shindwa Kulipa, Istoshe Zipo Njia Nying Za Kumfanya Mdaiwa Alipe Deni Bila Hata Kuuza Collateral, Cha Muhim Ni Kuwa Makin Mwanzon Tunapoingia Mkataba,
 
ndugu hela zipo tatizo ni hiyo collateral yako, endapo utatokomea na hiyo hela nitauza wapi hivo vyeti kurudisha hela yangu?

Yap collateral lazima iwe inauzika kurudisha deni in case mdaiwa akishindwa kulipa
 
Tatizo ni kwamba vyeti sehem zote za kazi unaombwa upeleke copy ya vveti,sasa haitakuwa athari kubwa sana kuacha vyeti.
Na pia hata kupata vyeti vipya wizarani ni pesa ndogo sana unapewa vingine.

Angalia njia nyingine ya dhamana
 
Nakuonea sana huruma. Kuna wakati sikuwa na hele kabisa nikamkopa mtu hela kwa style hiyo mwisho wa siku kilichonipata sitasahau maisha yangu japo leo nina hela kuliko yeye. Take care .
 
Nakuonea sana huruma. Kuna wakati sikuwa na hele kabisa nikamkopa mtu hela kwa style hiyo mwisho wa siku kilichonipata sitasahau maisha yangu japo leo nina hela kuliko yeye. Take care .

Dadavua nasi tupate cha kujifunza. Nini kilichokupata mkuu?
 
Asa vyeti ivo vyeti ndo unaona vinalingana na kilo 800? hizi akili nyingine matope kabisa! Kaviuze bac upate kilo 800!
 
Mmmh!!! Kabla hujapoteza muda humu, nenda katafute sehemu nyingine ili utatue tatizo lako,

Humu utaishia kuulizwa maswali tu
 
Ndugu Zangu Nimekuwa Na Shida Ya Haraka Kidogo.

Naomba Mwenye Uwezo Wa Kunipatia Tsh 600,000 Ntampatia Baada Ya Mwez Mmoja Tshs 800,000.

Dhamana Ni Vyeti Vyangu Vya Sekondari Mpaka Chuo Kikuu.

Note, Utakuwepo Utaratibu Wa Kuhakikisha Usalama Wa Hela Yake Na Inarud Kwa Muda Muafaka, Pia Naye Atunze Vyeti Kwa Umakini.

Asante.

Umeongea na Bank Manager wako? Omba overdraft bank kama una current account?
 
Mmmh!!! Kabla hujapoteza muda humu, nenda katafute sehemu nyingine ili utatue tatizo lako,

Humu utaishia kuulizwa maswali tu

umeongea ukweli mtupu yan huku utaishia kuona watu wanakujazia thread yako msaada zero ...watakukatisha tu tamaaa
 
Ndugu Zangu Nimekuwa Na Shida Ya Haraka Kidogo.

Naomba Mwenye Uwezo Wa Kunipatia Tsh 600,000 Ntampatia Baada Ya Mwez Mmoja Tshs 800,000.

Dhamana Ni Vyeti Vyangu Vya Sekondari Mpaka Chuo Kikuu.

Note, Utakuwepo Utaratibu Wa Kuhakikisha Usalama Wa Hela Yake Na Inarud Kwa Muda Muafaka, Pia Naye Atunze Vyeti Kwa Umakini.

Asante.
Mkuu ulifanikiwa kupata mkopo?
 
Back
Top Bottom