HMJ
Senior Member
- Apr 24, 2013
- 157
- 21
ukweli ni kwamba nina miaka 25 lakini cjawah kupata mwanamke zaidi ya kujisingizia tu kwamba yule ni demu wangu lakin c kweli watu mtaani waniona mjanja na wanawake wananiheshimu sana kwa kujua kuwa nimetulia but kiukweli cna ujacli wa kuzungumza nao yaan nawaogopa.so naombeni msada nifanyeje?