Jamani mimi nachoka kumsikiliza

Jamani mimi nachoka kumsikiliza

Trial balance

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2020
Posts
202
Reaction score
160
Jamani kama mnavyojua mambo ya chuo kuna mtu naona tu ananikera ujue Mimi Nina mastress yangu yani huyu ninayelala nae Dom moja mda wote na kila siku kazi yake kuvaa nguo niwe namthaminisha kama amependeza ananikera!

Maswali yake sasa nikivaa shati ili ntapendeza Mara hii suruali vipi Mara hizi nywele vipi yani mimi naamua kumuitikia tu ata kama nikiona ajapendeza nashindwa kumwambia staki ayo mambo yake mimi mbona navaa zangu tu simwulizi Mara aniulize umekula vipi Leo unaenda class yani najikuta kutopenda kuulizwa chochote!

Tupo course tofauti kila MTU anaenda class kwa wakati wake Mara saizi unalala saizi unaondoka Mara ushushi net yani maswali maswali mda wote natamani kumjibu shit mimi! Nilikuwa naumwa wiki ili mafua na kikohozi nikipiga chafya ananiambia pole fikilia upo katikati ya chafya umjibu pole yake nikikohoa pole ilifika mda najibu kwa hasira asante namwambia.

Anauliza dawa umekunywa namwambia spendi dawa anaanza kusema yan wewe upo kama ndugu yangu flan iv hapendi dawa bas ananikwaza utakuta mimi nachati zangu anaanzish anzisha mambo yake nimsapoti yani najikuta spendi disturbance napenda utulivu mda wote na kutoongeleshwa.
 
Ujue we unatusanifu na kama sio hivyo basi kumbe ni wewe ndio mwenye mashida Traial balance. Najuta hata kuchangia ule uzi wako wa kuvaliana nguo, nilipoteza chaji ya computer yangu bure na zile dakika 2 nilizotumia kukomenti ushauri.
 
Yani nataka niwe tu busy na mambo yangu.
Yani staki kunambia mambo yasoeleweka yani mimi niwe na kazi ya kumthanisha nguo zake kama zimemkaa alinunua za nini sasa kama aliona hazimkai vizuri mimi najionea shida tu saizi nikiona anavaa natoka nje akiondoka naingia naendelea na mishe zangu
 
Ujue we unatusanifu na kama sio hivyo basi kumbe ni wewe ndio mwenye mashida Traial balance. Najuta hata kuchangia ule uzi wako wa kuvaliana nguo, nilipoteza chaji ya computer yangu bure na zile dakika 2 nilizotumia kukomenti ushauri.
mkuu msamehe bure kwan anatabia za kivulana, akiwa mwanaume atabadilika
 
Yani staki kunambia mambo yasoeleweka yani mimi niwe na kazi ya kumthanisha nguo zake kama zimemkaa alinunua za nini sasa kama aliona hazimkai vizuri mimi najionea shida tu saizi nikiona anavaa natoka nje akiondoka naingia naendelea na mishe zangu
Mtu ajanyosha nguo alafu anavaa ananiambia hii nguo ina makunyazi wakati anaona kabisa ina makunyaz ananikera sana
 
  • Thanks
Reactions: T11
Msifu tuu..kama tunavyo Sifia serikali ya awamu flani.. si unaona hatuchoki.. usichoke!
 
Kama una stress kuishi na mtu wa ivo ndo vizuri sababu atakuwa anakutoa kwenye msongo uliokuwa nao ata kwa muda mfupi, kikubwa ni kuchukulia simple hiyo tabia ya mwenzio pia kama unamwamini unaweza mshirikisha hizo stress akakushauri na kama sio kwa yeye, mtafute mtu unayemwamini ili umshirikishe huo msongo, ukikaa sawa utaweza kuishi na watu wa tabia zozote.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Kama una stress kuishi na mtu wa ivo ndo vizuri sababu atakuwa anakutoa kwenye msongo uliokuwa nao ata kwa muda mfupi, kikubwa ni kuchukulia simple hiyo tabia ya mwenzio pia kama unamwamini unaweza mshirikisha hizo stress akakushauri na kama sio kwa yeye, mtafute mtu unayemwamini ili umshirikishe huo msongo, ukikaa sawa utaweza kuishi na watu wa tabia zozote.
Kunitoa stress au kuniongezea tu hapa!
 
Back
Top Bottom