Huna adabu, muulize mama yako kama ulichouliza ni kizuri.Unambunye nzuri?
Asante sanaKaribu sana lugha nyingi ila jifunze kulingana unavyo weza
Karibu sana mrembo
Ohoooo!!!kuwa na adabu mkuu.Unambunye nzuri?
Karibu sana nakuomba uni pm tafadhariNawapenda sana
Kwahiyo ndio umejiita kolomije kabisaHooodi humu!!! Mimi pia ni MGENI ndo nimeingia Jana ila cjatozwa kiingilio wala kodi.Nawaombeni mwongozo wadau.
Karibu sana ndugu.Nawapenda sana
Nakushauri badilisha pichaHiyo picha ni yangu Stunter
Si miongoni mwa waliofurushwa corner b. Au kwa sokota.Asante Numbisa lakini naomba utanielekeza vizuri MMU na ku m PM mtu inakuaje!
Mimi ndo nakupenda kuliko unavyofikiria.Nawapenda sana
Aisee,ukiwa kama mwana ndoa,hebu wasaidie vijana kutokana na uzoefu wako,kunako sita kwa sita.Asante pia nimeolewa
Asante mzee wa kijiweNafikiri nimewahi sherehe ya kukaribishana! Miss Piece mambo! Karibu huku wapo wazee pia!
Karibu nasikia wewe Mzee mwenzanguAsante mzee wa kijiwe
mkuu naona unatumia fursa mubasharaKaribu zingatia haya;
1. Mazungumzo utakayoyafanya PM (Private Message) na mtu yeyote usiyalete jukwaani utapigwa ban.
2. Kumtukana, kumkashifu au kutoa lugha za maudhi kwa member mwenzako utapelekea kupigwa ban.
3. Kuandika kwa mahadhi ya facebook mfano x kua s, tyu kua tu na kufupisha fupisha maneno siyo kosa ila utawakera wadau wengi.
4. Tuma picha yako pm na namba ya simu.