Naomba mnikaribishe

Karibu sana jf. Hapa wapo watu wa kila aina. Kila jambo hapa utapata majibu sahihi. Japo kuna wenye mizaha.
 
Nakupa hii gari utumie kwa sababu umejiunga na chama cha ma genius na ma mzee
LandRover_Defender_110_2022.jpg

Njooo palm village jioni ya saa 12 utanikuta nimevaaa cadet na t shirt ya blue
 
Tuma 10,000 ya kujiunga halafu kila mwezi utakuwa unapokea laki 1. Ila ukitoa zaidi ya kujiunga na dau lako pia litaongezeka la kupokea mwisho wa mwezi. 😜

Kumbuka umeingia katika himaya ya matajiri, warembo, wasomi. Hapa JF hakuna mtu asiyekuwa na degree, hakuna mpanda daladala wote tunamiliki ndinga za hatari, hakuna fukara humu wote ni ma don, kila demu pisikali.

Kwa kifupi karibu paradiso ya Jamii Forum sehemu pekee yenye wajuaji wa kila jambo.
 
  • Thanks
Reactions: xox
Kama wakike njoo pm
Acha hizo jombaa
Tuma 10,000 ya kujiunga halafu kila mwezi utakuwa unapokea laki 1. Ila ukitoa zaidi ya kujiunga na dau lako pia litaongezeka la kupokea mwisho wa mwezi. 😜

Kumbuka umeingia katika himaya ya matajiri, warembo, wasomi. Hapa JF hakuna mtu asiyekuwa na degree, hakuna mpanda daladala wote tunamiliki ndinga za hatari, hakuna fukara humu wote ni ma don, kila demu pisikali.

Kwa kifupi karibu paradiso ya Jamii Forum sehemu pekee yenye wajuaji wa kila jambo.
Tuma 10,000 ya kujiunga halafu kila mwezi utakuwa unapokea laki 1. Ila ukitoa zaidi ya kujiunga na dau lako pia litaongezeka la kupokea mwisho wa mwezi. 😜

Kumbuka umeingia katika himaya ya matajiri, warembo, wasomi. Hapa JF hakuna mtu asiyekuwa na degree, hakuna mpanda daladala wote tunamiliki ndinga za hatari, hakuna fukara humu wote ni ma don, kila demu pisikali.

Kwa kifupi karibu paradiso ya Jamii Forum sehemu pekee yenye wajuaji wa kila jambo.
Sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom