We ni me au ke?Mimi ni mgeni hapa Jamii Forums naomba mñikaribishe
MeWe ni me au ke?
OkKaribu sana jf. Hapa wapo watu wa kila aina. Kila jambo hapa utapata majibu sahihi. Japo kuna wenye mizaha.
Nakaa Morogoro,hiyo palm village si iko dsmNakupa hii gari utumie kwa sababu umejiunga na chama cha ma genius na ma mzee View attachment 2509143
Njooo palm village jioni ya saa 12 utanikuta nimevaaa cadet na t shirt ya blue
Haya basi
Yeah basi ukija unitafuteNakaa Morogoro,hiyo palm village si iko dsm
Acha hizo jombaaKama wakike njoo pm
Tuma 10,000 ya kujiunga halafu kila mwezi utakuwa unapokea laki 1. Ila ukitoa zaidi ya kujiunga na dau lako pia litaongezeka la kupokea mwisho wa mwezi. 😜
Kumbuka umeingia katika himaya ya matajiri, warembo, wasomi. Hapa JF hakuna mtu asiyekuwa na degree, hakuna mpanda daladala wote tunamiliki ndinga za hatari, hakuna fukara humu wote ni ma don, kila demu pisikali.
Kwa kifupi karibu paradiso ya Jamii Forum sehemu pekee yenye wajuaji wa kila jambo.
SawaTuma 10,000 ya kujiunga halafu kila mwezi utakuwa unapokea laki 1. Ila ukitoa zaidi ya kujiunga na dau lako pia litaongezeka la kupokea mwisho wa mwezi. 😜
Kumbuka umeingia katika himaya ya matajiri, warembo, wasomi. Hapa JF hakuna mtu asiyekuwa na degree, hakuna mpanda daladala wote tunamiliki ndinga za hatari, hakuna fukara humu wote ni ma don, kila demu pisikali.
Kwa kifupi karibu paradiso ya Jamii Forum sehemu pekee yenye wajuaji wa kila jambo.
OkKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Asante Dadakaribu