Jamani mimi mapenzi tena basi!

mhmmmmmh sasa usipompa anachotaka si ndo unampa sababu ya kucheat
Ukimpa kila anachotaka ndo umempa sababu ya kucheat manake mwanamke hawezi kulala na baba ake mzazi na km ikitokea kalala nae basi hawez kua na hisia nae..wewe unae mpa mwanamke kila anachotaka umekua baba ake...hawez kuwa na hisia na ww za kimapenzi...ni idea ya kipuuzi sana ila very very powerful...kamwe usimpe mwanamke kila kitu tena km hujaoa ndo kabisa usithibutu...hutakaa hupendwe ww zaid ya kudharaulika...tutapendwa sisi tunaotoa tukiamua kutoa na sio kila kitu...na km unapangiwaga ratiba kila trh fln lzm utume hela vunja ratiba...you have everything lkn bado insecure duu we jamaa sifuri kbs
 
Unampa muda? Au kila saa ndo kujifanya busy busy busy...unaweza kumpa kila kitu but if you dont give her a little of your time utaendelea kulalamika
 
Unampa muda? Au kila saa ndo kujifanya busy busy busy...unaweza kumpa kila kitu but if you dont give her a little of your time utaendelea kulalamika
Nakiri ndani ya masaa 24 mda umekua ocupied na mambo mengi sana but nafasi ya kupata mda na mpenzi wangu hua naizingatia sana, thou mambo ni mengi ndungu yangu
 
umetaja kuwa unainua vyuma kwa ajili ya kutanua viungo sio?..sasa weka vyuma kando kidogo ukamuinue huyo binti wa watu kwa kukukosea heshima..mpe kichapo heavy...cha kufa mtu hasa hadi akili zimkae sawa..kisha msamehe kwa vile huenda ni moyo wake ulimsaliti...(ila fanya haya at your own risk)
 
Daaaah we jamaa, mama angu mzazi alinihusia nisije inua mkono wangu kumpga mwanamke, and i respect that. thanks kwa ushauri but I CANT.
 
Daaaah we jamaa, mama angu mzazi alinihusia nisije inua mkono wangu kumpga mwanamke, and i respect that. thanks kwa ushauri but I CANT.
safi mkuu..ila ndio njia..wanawake huwaheshimu sana wanaume wanaojua kulainisha mambo yanapoenda upogo bila kuwahusisha wazazi kila wakati...unambana kisha unambembeleza kwa mapambaja na kumfuta machozi..tayari mtoto katakuwa kamelainika...
 
Acha zinaa mapema, kama ni christian come to church we will praise and worship together huku utapata mabinti wazuri na waliotayari kama na ww ni player basi na hao unaokuwa nao wanakuwa player. Blame no body.
 

Ukimuoa imekula kwako! Utakua umempa kibali mwenyewe cha kuendelea kumegwa na wengine.

Mpende mwanamke Ila usionyeshe kwamba bila yeye maisha hayawezi kwenda, maana hapo ndo wengi tunapokosea both wanaume na wanawake.

Kumpenda mtu hakumaanishi kwamba unatupa akili kiasi kwamba unapuuzia mengine ya msingi kwa mfano mtu anakosea unashindwa kumuambia ukweli au kumkosoa.

Lingine ni kwamba mahusiano ya aina yoyote yanahitaji hekima, heshima na kubebana. Unaweza ukawa unampa mtu matunzo Ila hauna heshima au kuna baadhi ya mambo hayako sawa.

Mapenzi is very complicated
 


Hapo ndipo utakapoamini kuwa Kiumbe cha Jinsi ya Ke hakitabiriki kuwa kinahitaji nini kwenye Mahusiano.. Pole na KubaliKuachilia kwa kuwa kama kweli sifa ulizojipamba bado wanakukimbia kweli wewe hupashi kuendelea kwenye mahusiano tena.

Pole
 
Nakiri ndani ya masaa 24 mda umekua ocupied na mambo mengi sana but nafasi ya kupata mda na mpenzi wangu hua naizingatia sana, thou mambo ni mengi ndungu yangu
Hapo sasaa! Inabdi upafanyie kazi.atleast mjulie hali try hata kwa siku umpigie simu even once au mtext and tell her how much u love her, atleast weekends mtoe out au hata mpeleke dinner somewhere nice.Mpe sikio lako, msifie lkn uwe mkweli, buy her gifts sisi wanawake tunapenda vitu vidgovidgo na unaweza kushangaa wanakusaliti kwa vitu vidgo vidgo.Nina rafiki yang alimuacha boyfriend wake kisa tu haongeagi hata kdgo anamuangaliaga tu then she left him cuz he was a boring boyfriend.yeye kazi yake ni kusema ndiyo au hapana na sijasema uwe muongeaji sana kuwa moderate
 
kama hamjafunga ndoa- malizia kila kitu hapo hapo. maaan ukishafunga ndoa halafu ukayapata mengine mlolongo wake mkubwa. kunywa quinene- muache ila usimpige wala kumtendea mabaya.
 
Kuhuc mimba kuna mkuu kasema subir azaliwe mtoto then pima DNA .
 
Yaani anakusaliti wakati ni mjamzito! Akiutua huo uzito sijui ndo itakuaje!!!
Mi nadhani badili dizaini ya wanawaje unaowapenda..
 
Yaani anakusaliti wakati ni mjamzito! Akiutua huo uzito sijui ndo itakuaje!!!
Mi nadhani badili dizaini ya wanawaje unaowapenda..
Na kweli, Hilo nalo neno.mkuu zingatia sana hapa
 
Tulia kaa na tafakari,,msaliti ni msaliti tu na hakupendi kwa sababu angelikua anakuoenda asingelikufanyia udanganyifu huo mabinti wa siku hizi hawaridhiki kwa namna yoyote ni kuomba Mungu tu atakapokutakia mtu sahihi wakati ukifika,,wala usikate tamaa endelea kupmbana kimaisha Mungu atakuletea tu mwanamke wa ndoto zako utamuoa,mtajenga familia na maisha ya furaha!yangu ni hayo mi pia ni muhanga kama wewe na ni takribani mwaka wa mmoja sipo kwenye mahusiano ila muda utaniambia pindi wakti utakapofika nitarudi tu kwenye game,,nazidi kuomba Mungu tu nipate mtu sahihi maishani!
 
Unakua insecure we jamaa wanawake hawapendi kabisa, mwanzon mtakaa poa lakin atachoka mwisho wake anakuacha.

Kuanzia leo acha kuwa hivi kwa mwanamke
- Acting Jealous
- Seeking Approval
- Being Controlling
- Being Clingy

Na akikuacha usumtumie mameseji meeengi wakati hakujibu kufanya hvyo utaonekana mhitaji sana. Acha japo nafsi inakulazimisha, mwache kwa mda baadae atageuka mwenyw.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…