Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,390
Huyu mrembo WA mwaka 2010 Miss Universe Madam Hellen namkubali sana, basi tu kwa kuwa kikazi niko huku mikoani nimesukulishwa. Msalimieni jamani.
Kuwa mkoani sio tatizo tafuta mawasiliano tu mtakutanaHuyu mrembo WA mwaka 2010 Miss Universe Madam Hellen namkubali sana, basi tu kwa kuwa kikazi niko huku mikoani nimesukulishwa. Msalimieni jamani.View attachment 660635
kipindi yupo a level anasoma shaaban robert 2006 alikujaga studio kupigwa picha kwa ajili ya bango la kampuni ya simu.. studio ilikuwa ya brother.. moyo ulimtunuku sana sema ndio hivyo nilikuwa dogoooo sina ujanja..
Seduce her but if you ain't broke[/QUOTE
Good.
Deo unajua vitu vizuri vizuri
Kumpenda mtu ambaye siyo type yako ni sawa na kusubiri nguruwe msikitini.
Chokonoa chokonoa yaje yakukute ya Babu Seya,
Umuone kifaranga amepanda juu ya pipa halafu unakimbilia manati.....!

Don't hunt what you can't kill.Madem wazuri sana namna hii ni hatari kwa maisha yako....usipende vitu vikubwa sanaaaa ukadhani ni ujanja..eti ndio confidence...nigga learn to undertstand your place,let us guys stop being dillusional...beauty ni very deceiving,really...