Jamani mfalme wa kuwait kafanya yake

Jamani mfalme wa kuwait kafanya yake

Leta source ya Habari mkuu.. Naona kama ni story za vibarazani vile......🤔
JF ya kuomba reliable source haipo siku hizi mkuu,inasikitisha sana,mtu anaokoteza ka habari anakatupia humu kisha watu wanatiririka!

Moderator Active Msipochukua hatua stahiki JF itapoteza ubora wake na trust,members wataanza kupungua hapa,simamieni hii forums ili kuweka heshima ya JF
 
Yani mfalme wa Kuwait ndio nani mbele ya Uislamu?
Katika Uislamu hakuna aliyebora kuliko mwengine thats why huwezi kuona imamu lazima atembelee Benz kama kwengine.
Katika Uislamu mmakonde wa Nanjilinji anaweza kuwa bora kuliko hata Ayatollah wa Iran huo ndio Uislamu ndugu zangu.
 
Watu (hasa waafrika) wako radhi kufia utamaduni tu wa watu wengine kwa hadaa kwamba ni dini, ni jambo la ajabu sana.
 
Imebidi ni screenshot hii
Screenshot_20260127-143600.png
 
JF ya kuomba reliable source haipo siku hizi mkuu,inasikitisha sana,mtu anaokoteza ka habari anakatupia humu kisha watu wanatiririka!

Moderator Active Msipochukua hatua stahiki JF itapoteza ubora wake na trust,members wataanza kupungua hapa,simamieni hii forums ili kuweka heshima ya JF
Hili jambo ni muhimu sana hasa kuchuja threads,

Huwa nafungua JF, ili angalau nije nipate taarifa ikiwemo Habari za uhakika kwa kinachoendelea huko duniani, ila kwa sasa naona utumbo ni mwingi zaidi, kuliko materials yenye Afya.
 
JF ya kuomba reliable source haipo siku hizi mkuu,inasikitisha sana,mtu anaokoteza ka habari anakatupia humu kisha watu wanatiririka!

Moderator Active Msipochukua hatua stahiki JF itapoteza ubora wake na trust,members wataanza kupungua hapa,simamieni hii forums ili kuweka heshima ya JF
Unamatatizo makubwa unahitaji kujitambua
 
Hili jambo ni muhimu sana hasa kuchuja threads,

Huwa nafungua JF, ili angalau nije nipate taarifa ikiwemo Habari za uhakika kwa kinachoendelea huko duniani, ila kwa sasa naona utumbo ni mwingi zaidi, kuliko materials yenye Afya.
Makafiri wengi humu eti eh , na bado kazi kuiga tu dini za wenyewe sasa wao wanabadilika kwenda njia kuu na unajua mnashida eti sasa hivi mnauziwa mate ya mtume muhammad na mnanunua mnauwakika gani ni yakwake
 
Ulishapata tiba ya matatizo yako ya akili? Au umeamua tu kurudi tena JF na kuendeleza ulipoishia?

Hasira hasara halafu hata siku jui ngoja nikublock kenge mmoja hivi jitu vivu halafu unatunzwa hiloooo.
 
Makafiri wengi humu na bado kazi kuiga tu dini za wenyewe sasa wao wanabadilika unajua mnashida eti sasa hivi mnauziwa mate ya mtume muhammad na mnanunua mnauwakika gani ni yakwake
Ndio anaweza Kubadili dini kulingana na mtazamo wake:- lakini

Sidhani hapa kama ninazungumza kuhusu masuala ya dini fulani, Hoja yangu mimi nimekuuliza source ya Habari ni ipi?? 🤔.
 
Back
Top Bottom