Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Yaani mimi kukutambulisha kwa "shemejiyo" ndiyo imekuwa nongwa? Simu, SMS, Please call Me, Please Recharge me, kila wakati? Kha!
Siyo vizuri bana, acha hizo!
Siyo vizuri bana, acha hizo!
Shantel umenichekesha kweli...inaonekana uko concerned sana na ishu ya gender maana watu wamekimbilia 1 kwa 1 wakarule out kwamba ni she ila wewe unaonekana kufikiri kwamba ni mwanaume katambulishwa kwa mwanamke!face him bwana sasa hapa tuchangie nini? kwanza kwa nini ulimtambulisha huyo mtu kwa huyo GF wako, mi naona huyo nae ni kicheche tu, alimpaje simu yake?
Yaani mimi kukutambulisha kwa "shemejiyo" ndiyo imekuwa nongwa? Simu, SMS, Please call Me, Please Recharge me, kila wakati? Kha!
Siyo vizuri bana, acha hizo!
habari zisizo rasmi zinasema kwamba ni ze finest.Jamani
sasa wewe ujumbe
Utamfikiaje mtu kama hayupo JF?
au yumo humu?
habari zisizo rasmi zinasema kwamba ni ze finest.
nimeanika raba zangu waswahili wameiba! apart from that kila kitu shwari!Hahaha lol
Kama ni yeye
amesha samehewa
vipi we waendeleaje?
nimeanika raba zangu waswahili wameiba! apart from that kila kitu shwari!