Jamani mbona rais wangu hakuongelea suala la Dowans?

ngwendu

JF-Expert Member
Jun 7, 2010
1,964
174
Jana nimeisikiliza kwa umakini hutuba ya rais wa JMT nikiwa na matarajio makubwa ya vitu viwili ambavyo vinagusa hisia za waTanzania wengi kwa sasa, nayo ni
1. Katiba mpya
2. Dowans
Suala la katiba amenifurahisha. Pia siku zote huwa sina wasiwasi na kikwete kwa vitu vinavyogusa jamii kuvitolea maamuzi ambayo wengi huwa wanakubaliana nayo, mfano lilipoibuka suala la ununuaji wa mitambo chakavu ya dowans. Lakini pia ninachokiona ni kuwa hana cha kupoteza kwenye urais wake hasa kwa suala hili la katiba kwa kipindi hiki cha mwisho kwake.
Suala la dowans hakuliongelea kabisa japokuwa ameongelea crisis ya umeme.
kwani hii kwangu ni mara ya kwanza kwa rais JK kutoongelea suala linalogusa nyoyo za wengi katika sehemu husika na muda husika.
Wakuu kama kuna mtu anahabari za ndani atujuze, ni kitu gani kilichojiri.
 
Jana nimeisikiliza kwa umakini hutuba ya rais wa JMT nikiwa na matarajio makubwa ya vitu viwili ambavyo vinagusa hisia za waTanzania wengi kwa sasa, nayo ni
1. Katiba mpya
2. Dowans
Suala la katiba amenifurahisha. Pia siku zote huwa sina wasiwasi na kikwete kwa vitu vinavyogusa jamii kuvitolea maamuzi ambayo wengi huwa wanakubaliana nayo, mfano lilipoibuka suala la ununuaji wa mitambo chakavu ya dowans. Lakini pia ninachokiona ni kuwa hana cha kupoteza kwenye urais wake hasa kwa suala hili la katiba kwa kipindi hiki cha mwisho kwake.
Suala la dowans hakuliongelea kabisa japokuwa ameongelea crisis ya umeme.
kwani hii kwangu ni mara ya kwanza kwa rais JK kutoongelea suala linalogusa nyoyo za wengi katika sehemu husika na muda husika.
Wakuu kama kuna mtu anahabari za ndani atujuze, ni kitu gani kilichojiri.

shareholder
 
king hujaelewa swali langu, mbona liko wazi?
Jamani mtu yeyote mwenye datail ya kilichojiri kwa hili la dowans kwani wengi tulikuwa tumekaa mkao wakusikia tamko la mkuu. plz.


Ulikuwa huna kazi ya kufanya au ulikuwa umepigika kiasi hata ngawila za kwenda kwenye social enjoeyment ikakupiga chenga, hivi ni nani mwenye akili timamu akae kwenye runinga kutegemea kwamba mkwere atakuja na jambo jipya au la maana? kama unaishi Dar karibu hapa Club san siro tugawane umaskini maana inaonekana huyu Mkwere amewabana vilivyo.
 
Hajaliongela maana anaona aibu, haya na soni kulipa mabilioni kwa uzembe wa serikali yake na mashirika yake...
 
Mwandishi wa speech alisahau kuiweka, na JK wall hakuipitia kabda ya kusoma. Hakuwa muda ndiyo karudi kutoka safari. Huyu jamaa ni mtupu sana
 
Back
Top Bottom