Jana nimeisikiliza kwa umakini hutuba ya rais wa JMT nikiwa na matarajio makubwa ya vitu viwili ambavyo vinagusa hisia za waTanzania wengi kwa sasa, nayo ni
1. Katiba mpya
2. Dowans
Suala la katiba amenifurahisha. Pia siku zote huwa sina wasiwasi na kikwete kwa vitu vinavyogusa jamii kuvitolea maamuzi ambayo wengi huwa wanakubaliana nayo, mfano lilipoibuka suala la ununuaji wa mitambo chakavu ya dowans. Lakini pia ninachokiona ni kuwa hana cha kupoteza kwenye urais wake hasa kwa suala hili la katiba kwa kipindi hiki cha mwisho kwake.
Suala la dowans hakuliongelea kabisa japokuwa ameongelea crisis ya umeme.
kwani hii kwangu ni mara ya kwanza kwa rais JK kutoongelea suala linalogusa nyoyo za wengi katika sehemu husika na muda husika.
Wakuu kama kuna mtu anahabari za ndani atujuze, ni kitu gani kilichojiri.
1. Katiba mpya
2. Dowans
Suala la katiba amenifurahisha. Pia siku zote huwa sina wasiwasi na kikwete kwa vitu vinavyogusa jamii kuvitolea maamuzi ambayo wengi huwa wanakubaliana nayo, mfano lilipoibuka suala la ununuaji wa mitambo chakavu ya dowans. Lakini pia ninachokiona ni kuwa hana cha kupoteza kwenye urais wake hasa kwa suala hili la katiba kwa kipindi hiki cha mwisho kwake.
Suala la dowans hakuliongelea kabisa japokuwa ameongelea crisis ya umeme.
kwani hii kwangu ni mara ya kwanza kwa rais JK kutoongelea suala linalogusa nyoyo za wengi katika sehemu husika na muda husika.
Wakuu kama kuna mtu anahabari za ndani atujuze, ni kitu gani kilichojiri.