You said it all 🤣🤣🤣Tatizo ni yale mapicha ya watu 4kukumbatiana ?
Unamaana Ile picha ya Bi. Mkubwa na yule Mzimbabwe ndio imelata shida?Tatizo ni yale mapicha ya watu 4kukumbatiana ?
Vyovyote vile huwezi funga kisa mtu mmoja , binafsi bado kwangu inakubali , hii fedhea kweli nchi hiiNi maoni ya kawaida.....
Sasa wanavamia JF kwa kosa gani? si wamwambie kuwa usipost hiki na hiki na hiki...au wanaopita JF wanamwambia hii futa .....
Makala za machawa kama Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable , Tlaatlaah , Malaria 2 na wengine zipuuzwe rasmi kuanzia Sasa, hawa ndio watesi wetuNi maoni ya kawaida.....
Sasa wanavamia JF kwa kosa gani? si wamwambie kuwa usipost hiki na hiki na hiki...au wanaopita JF wanamwambia hii futa .....
Wewe ndiye UpuuzweMakala za machawa kama Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable , Tlaatlaah , Malaria 2 na wengine zipuuzwe rasmi kuanzia Sasa, hawa ndio watesi wetu
Hawataki kusikia mambo ya Polepole yakiandikwa humu... hawa watu TCRA ni vema sasa wamtafute huyo Polepole wamuwekee super glue mdomoni ili asiweze tena kuongea... maana akiongea ni lazima watu tusikie. Wanatupangia ni nini tusome au kukisikia toka kwa watu wemgine.. Polepole Kawatuhumu kwamba wanazima mitandao na internet kunako peleka kuharibia watu biashara zao. Sasa badala ya kumjibu huyo Polepole kwa madai yake, wao wanathibitisha alicho watuhuMu nacho... Halafu bado wana mtu anaitwa Doctor huko kwenye kitengo chao.. Taabu tupu. Mbona Azam nao hawaja- balance mambo? Rostam Aziz kaongea yake na hawakumtafuta Polepole atoe ukweli wa mambo... nchii hii taabu sana....Ni maoni ya kawaida.....
Sasa wanavamia JF kwa kosa gani? si wamwambie kuwa usipost hiki na hiki na hiki...au wanaopita JF wanamwambia hii futa .....
Duniani haki haipo,najaribu kuwaza,baadhi ya wakati hata shetani anajaribu kumrubuni mwanadamu katika haki,ili amlengeshe kwenye 18 zake.Je iweje binadamu hata kulitamka neno haki aogopee?Hawataki kusikia mambo ya Polepole yakiandikwa humu... hawa watu TCRA ni vema sasa wamtafute huyo Polepole wamuwekee super glue mdomoni ili asiweze tena kuongea... maana akiongea ni lazima watu tusikie. Wanatupangia ni nini tusome au kukisikia toka kwa watu wemgine.. Polepole Kawatuhumu kwamba wanazima mitandao na internet kunako peleka kuharibia watu biashara zao. Sasa badala ya kumjibu huyo Polepole kwa madai yake, wao wanathibitisha alicho watuhuMu nacho... Halafu bado wana mtu anaitwa Doctor huko kwenye kitengo chao.. Taabu tupu. Mbona Azam nao hawaja- balance mambo? Rostam Aziz kaongea yake na hawakumtafuta Polepole atoe ukweli wa mambo... nchii hii taabu sana....
mambo ya kisenge aisee, ni kama kanisa tuu la ufufuo na uzima, ameongea gwajima linafungiwa kanisa how?..Vyovyote vile huwezi funga kisa mtu mmoja , binafsi bado kwangu inakubali , hii fedhea kweli nchi hii
Eti JF inalaumiwa kwa:-Ni maoni ya kawaida.....
Sasa wanavamia JF kwa kosa gani? si wamwambie kuwa usipost hiki na hiki na hiki...au wanaopita JF wanamwambia hii futa .....
Kumbe na CHAWA mnatunia VPN ku access ♿ ♿ JamiiForums? Nyau kabisa nyie na lichama lenu la mabwege na majiziWewe ndiye Upuuzwe
Kitombi alipigwa tomaso la kwenda, shenzi taipu kabisaEti JF inalaumiwa kwa:-
1. Kutokufuta uzi unaosema Rostam anamiliki 70% ya mgodi wa makaa ya mawe wa Ngaka kule Songea.
2. Kutokufuta picha za mama zinazoonesha kakumbatiwa kama Mwajuma ndala ndedu wa Tandale na yule mhuni wa Zimbabwe.
mambo ya kisenge aisee, ni kama kanisa tuu la ufufuo na uzima, ameongea gwajima linafungiwa kanisa how?..
Oysterbay Police si unapajua? Ebu kawaambie waachane na Primary School Mate wangu Melo!Ni maoni ya kawaida.....
Sasa wanavamia JF kwa kosa gani? si wamwambie kuwa usipost hiki na hiki na hiki...au wanaopita JF wanamwambia hii futa .....