fieldmashal
Member
- Nov 22, 2015
- 78
- 3
Siku chache baada uchaguzi kuisha wanafunzi wa vyuo vikuu hasa wanaoendelea na masomo wamekosa mikopo swali wakati wa kampeni zake ukiwa morogoro uliwahi sema namnukuu"najuwa hapa morogoro kuna vyuo vingi sana swala la mikopo nitalishugulikia tena anaye gawa hii mikopo hiiiiiiiiiiiiiiiiii ajiandae haiwezekani mwanafunzi akose mkopo tena mkopo jamani najuwa humu kunawanasiasa tunaomba msaada wenu