Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Anafurahia kukeshea mtarimbo.....sio kila machoz yana maanisha huzuni!!!!!
Mmh! Nshazoea kulala na nguo sa huko hata bila kyupi! Ohoho lazima niliee!!
Yupi anasema kweli hapa?
Anafurahia kukeshea mtarimbo.....sio kila machoz yana maanisha huzuni!!!!!
Mmh! Nshazoea kulala na nguo sa huko hata bila kyupi! Ohoho lazima niliee!!
Yupi anasema kweli hapa?
^^
They say what they dont mean
^^
^^
They say what they dont mean
^^
Kila mtu ana mawazo yake......me ntafurahia dushe kukesha nalo.Ulie kwakuogopa dushe kwani alikuja kutoa mahari ili ukalime????
Kila mtu ana mawazo yake......me ntafurahia dushe kukesha nalo.Ulie kwakuogopa dushe kwani alikuja kutoa mahari ili ukalime????
mmmh....!!! hii ndio JF
Kumbeeeeeeehhhh!!!!!!
CC Heaven on earth !!!!!!!!
Wanajamvi
Umofia kwenu.
Naombeni tuelimishane ni kwanini ukimchumbia msichana wakati wa send off na wakati wa Harusi badala ya kuwapa watu tabasamu furaha analia wakati alikubali mwenyewe na akaomba tuungane naye kufurahia
Je anaogopa muhogo wa kila siku au ndo nini tena
Nawasilisha
baba Paroko naona umeniita mie.........
Nimekuita uje uone mambo hayo!