Jamani kwani Sheikh Yahaya alisema yule Rais mwanamke atahudumu kwa muda gani!?

Jamani kwani Sheikh Yahaya alisema yule Rais mwanamke atahudumu kwa muda gani!?

Benson Mramba

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
766
Reaction score
1,884
Nimefuatilia mijadala mingi sehemu mbalimbali kuna hoja kuwa Sheikh Yahaya mnajimu alitabiri kuwa "baada ya Rais Kikwete atakuja Rais mweusi mchekeshaji ambaye atahudumu kwa muda mfupi, hapo Tanzania itapata Rais Mwanamke baada yake upinzani utachukua nchi"

Kwa kuwa Watanzania wengi wanaamini uganga na dini basi watu wengi waliamini uchaguzi wa mwaka huu upinzani utashinda.

Wametokea na manabii nao wanasema Mama hatashinda 2025.

Swali langu ni kuwa let assume, tufanye kuwa utabiri wa Sheikh Yahaya ni wa kweli Je Sheikh alisema kuwa huyo Rais Mwanamke atahudumu kwa kipindi kimoja? Labda atakapomaliza awamu ya pili je?

Kwa wale manabii Je Mungu amewapa muda specific? Maana Ibrahimu aliambiwa atapata mtoto akiwa na miaka 80 akaja kumpata na miaka 100.

Tujiridhishe jamani kuumia ni kwingi.
 
Achana na stori za manabii na hawa watabiri , maana hata huyo uliemtaja alitabiri kuna tarehe moja ya mwezi fulani litatokea tukio ambalo litatingisha taifa zima kutokana na uzito wake hivyo tutarajie


Tukasubiria kwa hamu kuona nini kitatokea, ile siku kufika Tukio lenyewe si akafa mwenyewe🤣

Kwa kifupi Mama tunae na tunatamba nae
 
Nimefuatilia mijadala mingi sehemu mbalimbali kuna hoja kuwa Sheikh Yahaya mnajimu alitabiri kuwa "baada ya Rais Kikwete atakuja Rais mweusi mchekeshaji ambaye atahudumu kwa muda mfupi, hapo Tanzania itapata Rais Mwanamke baada yake upinzani utachukua nchi"

Kwa kuwa Watanzania wengi wanaamini uganga na dini basi watu wengi waliamini uchaguzi wa mwaka huu upinzani utashinda.

Wametokea na manabii nao wanasema Mama hatashinda 2025.

Swali langu ni kuwa let assume, tufanye kuwa utabiri wa Sheikh Yahaya ni wa kweli Je Sheikh alisema kuwa huyo Rais Mwanamke atahudumu kwa kipindi kimoja? Labda atakapomaliza awamu ya pili je?

Kwa wale manabii Je Mungu amewapa muda specific? Maana Ibrahimu aliambiwa atapata mtoto akiwa na miaka 80 akaja kumpata na miaka 100.

Tujiridhishe jamani kuumia ni kwingi.
Majini hayakuwa yamechoka kweli? Maana mama yupo hadi 2030 ampishe Nchimbi
 
Nimefuatilia mijadala mingi sehemu mbalimbali kuna hoja kuwa Sheikh Yahaya mnajimu alitabiri kuwa "baada ya Rais Kikwete atakuja Rais mweusi mchekeshaji ambaye atahudumu kwa muda mfupi, hapo Tanzania itapata Rais Mwanamke baada yake upinzani utachukua nchi"

Kwa kuwa Watanzania wengi wanaamini uganga na dini basi watu wengi waliamini uchaguzi wa mwaka huu upinzani utashinda.

Wametokea na manabii nao wanasema Mama hatashinda 2025.

Swali langu ni kuwa let assume, tufanye kuwa utabiri wa Sheikh Yahaya ni wa kweli Je Sheikh alisema kuwa huyo Rais Mwanamke atahudumu kwa kipindi kimoja? Labda atakapomaliza awamu ya pili je?

Kwa wale manabii Je Mungu amewapa muda specific? Maana Ibrahimu aliambiwa atapata mtoto akiwa na miaka 80 akaja kumpata na miaka 100.

Tujiridhishe jamani kuumia ni kwingi.
hui ni uchawi tu ambao haushindi nguvu za Mungu mama mitano tena
 
Nimefuatilia mijadala mingi sehemu mbalimbali kuna hoja kuwa Sheikh Yahaya mnajimu alitabiri kuwa "baada ya Rais Kikwete atakuja Rais mweusi mchekeshaji ambaye atahudumu kwa muda mfupi, hapo Tanzania itapata Rais Mwanamke baada yake upinzani utachukua nchi"

Kwa kuwa Watanzania wengi wanaamini uganga na dini basi watu wengi waliamini uchaguzi wa mwaka huu upinzani utashinda.

Wametokea na manabii nao wanasema Mama hatashinda 2025.

Swali langu ni kuwa let assume, tufanye kuwa utabiri wa Sheikh Yahaya ni wa kweli Je Sheikh alisema kuwa huyo Rais Mwanamke atahudumu kwa kipindi kimoja? Labda atakapomaliza awamu ya pili je?

Kwa wale manabii Je Mungu amewapa muda specific? Maana Ibrahimu aliambiwa atapata mtoto akiwa na miaka 80 akaja kumpata na miaka 100.).

Tujiridhishe jamani kuumia ni kwing
Nimefuatilia mijadala mingi sehemu mbalimbali kuna hoja kuwa Sheikh Yahaya mnajimu alitabiri kuwa "baada ya Rais Kikwete atakuja Rais mweusi mchekeshaji ambaye atahudumu kwa muda mfupi, hapo Tanzania itapata Rais Mwanamke baada yake upinzani utachukua nchi"

Kwa kuwa Watanzania wengi wanaamini uganga na dini basi watu wengi waliamini uchaguzi wa mwaka huu upinzani utashinda.

Wametokea na manabii nao wanasema Mama hatashinda 2025.

Swali langu ni kuwa let assume, tufanye kuwa utabiri wa Sheikh Yahaya ni wa kweli Je Sheikh alisema kuwa huyo Rais Mwanamke atahudumu kwa kipindi kimoja? Labda atakapomaliza awamu ya pili je?

Kwa wale manabii Je Mungu amewapa muda specific? Maana Ibrahimu aliambiwa atapata mtoto akiwa na miaka 80 akaja kumpata na miaka 100.

Tujiridhishe jamani kuumia ni kwingi.
Swali zuri mkuu. Nijuavyo mimi. Kwenye mambo mengi ya KIROHO.KIROHO hakuna muda. Yaani kwenye ulimwengu wa roho hakuna time,siku wala miaka. Kuna mtiririko wa matukio tu...
Fuatilia watabiri wengi,waganga na wengineo walioiva
 
Fuatilia watabiri wengi,waganga na wengineo walioiva
Kwenye mambo mengi ya KIROHO huwa hakuna muda. Yaani kwenye ulimwengu wa roho hakuna time, siku wala miaka. Kuna mtiririko wa matukio (movement za nguvu kuu) Mtabiri aliiva..kwa sababu aliona matukio. Watu wengi walioiva KIROHO huoneshwa/huona matukio kama vile mtu atazamapo movie. Kazi inakuja kwenye kutasfiri ulichokiona...
Watu saba wanaweza zama KIROHO na wakamuona paka amekaa kwenye kiti cha mfalme...ila wakija kwa jamii wanaweza tuletea maana tofauti kwa kila mmoja. Ndio maana hata dini ziko nyingi,zenye madhehebu mengi yanye mtazamo tofauti ila wote watakwambia Mungu wetu ni mmoja.
 
Achana na stori za manabii na hawa watabiri , maana hata huyo uliemtaja alitabiri kuna tarehe moja ya mwezi fulani litatokea tukio ambalo litatingisha taifa zima kutokana na uzito wake hivyo tutarajie


Tukasubiria kwa hamu kuona nini kitatokea, ile siku kufika Tukio lenyewe si akafa mwenyewe🤣

Kwa kifupi Mama tunae na tunatamba nae
tarehe moja mwezi flan bado haijafika tuendelee kusubiri
 
Back
Top Bottom