ila pia na watu wenyewe ndo wanaohamasisha hii habari ya kuchangiana.usipomwambia mtu unaoa au kuolewa mkikutana anaanza lawama. i had a best wedding ever. just me na familia na close friends tu. na ilikua njema sana.no head ache za kijingajinga. na mtu akinihoji y sikumwambia. jibu ni simple.... nilitaka kutimiza agano langu na mpendwa wangu tu hayo mengine mapambo tu.
afu angalia hata wenye harusi kwa kutamani kulisha matumbo meeeengi wanabaki na madeni hata mwaka mzima. yani maana ya ndoa hakuna, ishu ni umati kiasi gani ulikua ukumbini,vyakula vilikuaje zawadi kiasi gani.yaaani mashindano tu afu kesho yake unasikia mke kwao.
watu wanapaswa wafanye kwa kadri ya uwezo wao. kusumbuana huku kila siku vikao na kadi mmmmmh.sijui tutafika wapi.