Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,504
- 2,513
Tusalimie waliotangulia.
Aaaaaah jaman kwl ?? Ngja niende xaxsWe nenda bana......kwanza ulishatuchosha.....tumekuvumilia sana.......
Vocha ya nn hko kla KTU n bure,!!!Mkuu nakurushia vocha ukifika huko nipe habari za huko kunajika kweli au tubaki huku huku na mateso ya sukari na ccm tu.![]()
Hiv wew swissme ni me au ke? Ckuelewagi kabsa mkuu, hebu nijulisheSema wapi kuna msiba tufuate my be tunaweza kunywa chai maana baba jesca kabana.
Swissme
Basi atupe habari tu akifikaVocha ya nn hko kla KTU n bure,!!!
mwana usisahau kubeba simu
.
.
.
.
.
.
na power bank!
Hahaha jinsia gan ww???Ulaya mtu kama wewe ni wanted, coz unaweza kuwa umepanga kujitoa muhanga na kuua watu wengi, sometime wahaarifu huwa wanatoa taarifa kwa mitandao sema kibongo bongo watu wataona unatania tu, nobody will take care.