Inategemea ulijuana na huyo mtu kwa njia gani na je kama kwa njia ya mtandao uliwahi kuchunguza mambo yake mbali mbali , mahusiano yake na jamii haswa kikazi na kadhalika ?
Ila watch out na watu wa mitandao huku kuna mambo sana uliza walio kuwa na experiance kuna wengine wamekimbia jamii forums kisa alikutana na kibuzi humu --- akaja kushituka mume wa mtu basi akakacha kuja tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.