Jamani kesho ndio Valentine day! Nawakumbusha wahusika..

Ni hivi kama tulivyokubaliana kwa kuwa kesho ni valentine day, watu wote wenye jinsia ya kiume ikifika usiku tunazima simu na kuangalia Uefa!
Msisahau tafadhali...
Kwani wanaume wawapi mliaidiana hiyo kitu?
 
02cc7dbb49db62b9598c20767a4807f5.jpg
 
Ni hivi kama tulivyokubaliana kwa kuwa kesho ni valentine day, watu wote wenye jinsia ya kiume ikifika usiku tunazima simu na kuangalia Uefa!
Msisahau tafadhali...

Waambie TACAIDS na Mamlaka zingine husika watuongezee idadi ya Condoms tafadhali kwani mpaka sasa imebaki moja nchi nzima tena pale dukani Buguruni ' Kimboka ' la sivyo Watanzania Kesho ' tutagongesha sana besela ' hakyanani.
 
Hahaa duuh ninejipumzisha hapa home baada ya kutoka job, zimeingia cm zakutosha tu, hadi za tuliezinguana juz kati naona msj yake et nipigie mimi es...... tr. P. Mbaaaav

Go to heal.
 
Waambie TACAIDS na Mamlaka zingine husika watuongezee idadi ya Condoms tafadhali kwani mpaka sasa imebaki moja nchi nzima tena pale dukani Buguruni ' Kimboka ' la sivyo Watanzania Kesho ' tutagongesha sana besela ' hakyanani.
TACAIDS mkuu, wapo mbali me nnazo hapa za kutosha tena durex extra sensitive mkuu!
Tafadhali usigongeshee, wanajf tunapendana bhn! mimi ntakupa nitajie tu idadi unayotaka niangalie stock mkuu...! Kesho mimi ntakuwa bize na uefa!
 
Hahaa duuh ninejipumzisha hapa home baada ya kutoka job, zimeingia cm zakutosha tu, hadi za tuliezinguana juz kati naona msj yake et nipigie mimi es...... tr. P. Mbaaaav

Go to heal.
kuwa makini mkuu utakamatika, zima simu uombe hata rafiki yako afungue wifi ili usikose kabisa kuingia huku jf..
 
Back
Top Bottom