Kwani wanaume wawapi mliaidiana hiyo kitu?Ni hivi kama tulivyokubaliana kwa kuwa kesho ni valentine day, watu wote wenye jinsia ya kiume ikifika usiku tunazima simu na kuangalia Uefa!
Msisahau tafadhali...
Mmmh!Mpira raha wewe au wee hujui...![]()
![]()
Mbona tushaweka kambi toka Leo mchana....hiyo UEFA tutaangalia woteNi hivi kama tulivyokubaliana kwa kuwa kesho ni valentine day, watu wote wenye jinsia ya kiume ikifika usiku tunazima simu na kuangalia Uefa!
Msisahau tafadhali...
MzikiUnakosa uhondo, unapenda nini..?
Bora hizo simu zizimwe tubaki tunaangalia UEFA![]()
hiyo ni tofauti na kuzima simu...
Ni hivi kama tulivyokubaliana kwa kuwa kesho ni valentine day, watu wote wenye jinsia ya kiume ikifika usiku tunazima simu na kuangalia Uefa!
Msisahau tafadhali...
TACAIDS mkuu, wapo mbali me nnazo hapa za kutosha tena durex extra sensitive mkuu!Waambie TACAIDS na Mamlaka zingine husika watuongezee idadi ya Condoms tafadhali kwani mpaka sasa imebaki moja nchi nzima tena pale dukani Buguruni ' Kimboka ' la sivyo Watanzania Kesho ' tutagongesha sana besela ' hakyanani.
Hahaa duuh ninejipumzisha hapa home baada ya kutoka job, zimeingia cm zakutosha tu, hadi za tuliezinguana juz kati naona msj yake et nipigie mimi es...... tr. P. Mbaaaav
Go to heal.