Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,104
- 421
Kaka yako kaenda kumuona mume wako na kumshawishi akuache. na wewe on the other hand umeingia JF kumuanzishia thread. umesema ni mbea na mjehuri na unaomba ushauri wa kumkomesha.
Mi naona kama
1. hakuna kabisa upendo kati yenu
2. Kuna kitu ulifanya kaka yako akaona, ukajaribu kumbembeleza akakataa, ukamuona mjehuri
3. akakipeleka kwa mumeo ndio maana unamuona mbeya
Kwa hali hii, sitoi ushahuri wowote until tupewe full data, or none.
RR nakubaliana na mtazamo wako, lkn kwa mfano ww ni mkaa ukaona dada yako ana cheat je unaweza mchomea kwa shemjio?