Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Jamani???? Mbona hatari! Ana mke huyo kaka yenu?
Kipipi hilo likaka ni noma! Usije haribu ukurasa wako ebo!
Jamani???? Mbona hatari! Ana mke huyo kaka yenu?
Vumilia ndugu yangu, Tatizo la hapa JF sijui kitu gani wao
wanaona ni sahihi kushauri. Kama hilo kuna ambao wana
kulaumu kwanini umelileta hapa lakini kiukweli uko sahihi
kwani hili si jukwaa la siasa ni mahusiano, halafu kingine
wengi wanashindwa kujua kuwa tuko watu wa rika tofauti
hapa kuna ambao wameolewa wana miaka 18 hawa wana
matatizo yao na kuna wa miaka 45 kama hili lako kwao si
tatizo.
Jamani mshaurini huyo binti ni mdogo wenu!
Kipipi hilo likaka ni noma! Usije haribu ukurasa wako ebo!
Habarini wapendwa wana jf, jamani naombeni mnifundishe mbinu za aina yyt nitakazotumia kumshkisha adabu mana kazidi, 1. MMBEA yani akiskia kitu atakitangaza kila mtaa 2. ANAJISKIA na ANADHARAU sn huyu kaka ymg hakua na haka katabia lkn kapata vijisent kidogo anatudhau ndugu zk ile mbaya 3. kilichoniuma kuliko vyote ni nilipokosana na MUME WNG MAMBO YA KAWIDA 2 alipojua tu akaanza KUMCHOCHEA MUME WANGU ANIFUKZE, kitendo hiki kimenikera sn tn sn, PLEASE! PLEASE! NAOMBENI MNIPE MBINU ZA KISASA KUMKOMESHA.
inamaana mungi wamtaka lonely au mdogo wake?ningekuwa shemeji yake angekoma kuringa. Nafasi unayo ya yeye kuniita shemeji.