Mkuu BT mambo? Za kupoteana?
Shem wangu hajambo?
Umekua wa kwanza kwangu kukupa Hi baada ya Jf kututoa Segerea/Isanga/Keko/Ukonga/Maweni/Butimba/Kitengule n.k
Mkuu BT mambo? Za kupoteana?
Shem wangu hajambo?
Umekua wa kwanza kwangu kukupa Hi baada ya Jf kututoa Segerea/Isanga/Keko/Ukonga/Maweni/Butimba/Kitengule n.k
Hii kitu jf imenitesa sana,nimeingia fb nikaona uzushi tu,nikajaribu wanabidii,fikra pevu zote nikaona hakuna cha maana,hakika kwangu jf ni sawa na mke wa pili a.k.a nyumba ndogo ya kutulizia mawazo