SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Maambukizi yamepungua sana Tanzania
Kwa elimu yangu ya darasa la saba B, Ukimwi sio ungonjwa... Ni Upungufu wa Kinga Mwili... So ukiwa na Ukimwi, means unafungua mlango kwa magonjwa kukushambulia, hivyo basi, hakuna anayekufa kwa Ugonjwa wa Ukimwi(maana hakuna ugonjwa wa namna hiyo) , bali watu wanakufa na magonjwa mengine ambayo yamekupata baada ya kuwa na Ukimwi, yaani Upungufu Wa Kinga Mwilini.
Hoja ujibiwa kwa hoja n sio kwa mipasho... Mwanaume wewee.... Mipasho waachie dada zako..Kweli elimu yako ya la saba B ungeenda bac hata form one huu ujinga ungekutoka
Hoja ujibiwa kwa hoja n sio kwa mipasho... Mwanaume wewee.... Mipasho waachie dada zako..
Haya jibu basi kwa hoja, maana lengo kujifunza, na sio kutuonesha namna gani unajua mipasho.
OkayNenda tu ukaanze form one sasa hv elimu bure Mkuu.
ofcoz ukimwi hupo mkuu, lakn watu wanapata dawa fresh na kuendlea kuongeza siku za kuishi. ndo mana sekta nyingi za afya zimepunguza kampeni za ukimwi.
Siku the town skendle ni diabetes mellitus(kisukari),cancer, na sasa tayar virus vya zika vipo afrika, hayo ndo magonjwa makubwa duniani na yanakuondoa fasta kweny world reception.
ofcoz ukimwi hupo mkuu, lakn watu wanapata dawa fresh na kuendlea kuongeza siku za kuishi. ndo mana sekta nyingi za afya zimepunguza kampeni za ukimwi.
Siku the town skendle ni diabetes mellitus(kisukari),cancer, na sasa tayar virus vya zika vipo afrika, hayo ndo magonjwa makubwa duniani na yanakuondoa fasta kweny world reception.
Unaweza kututhibitishia HIV husabahisha UKIMWI au unaongea kama mtu wa mapokeo?Hivi nini kinachosababisha watu kuupetipeti hivi hilo gonjwa? Hata mngeutamka vipi makali yake hayabadiliki muuite Ukimwi ama HIV ama AIDS hayo ni maneno tuu hayapunguzi ukali kwa mwathirika wala hayabadilishi maana ya hilo gonjwa, mueleweni mtoa mada namuache ubishi kupoteza maana ya thread
Mhhh, usichanganye watu wewe!!Mkuu mwembemdogo unamaanisha HIV ipo au UKIMWI upo, bado napata ukakasi na hoja yako sababu UKIMWI sio ugonjwa
Mbona nimeongea kiswahili fasaha, kwani kirefu cha UKIMWI si Upungufu wa Kinga Mwilini unaosababishwa na vitu mbali mbali kama matumizi ya madawa ya kulevya, malnutrition, ugonjwa wa Kifua kikukuu nk.Mhhh, usichanganye watu wewe!!