tetea tete
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 388
- 127
Baba wa Taifa aliwahi kusema kuwa mvunja nchi in mwananchi, nami nasema muuaji wa CCM ni mwanaCCM ukweli yametimia.
Ubinafsi , uroho wa madaraka na kubebana hata kama sifa huna ndio vilivyopelekea kifo cha CCM mwaka huu .
Wajumbe wa kwanza kuipeleka CCM kibra ni kamati ya maadili Na Usalama .
Wajumbe wa pili ni kamati kuu wao ndio waliohakikisha CCM inakufa mwaka huu kwa kukiuka kwa makusudi kanuni ili tu wampitishe wamtakaye na kuwaacha watu wenye sifa na uwezo wa kuongoza.
Hatushangai ila malipo yake in hapa duniani kwa CCM kufa.
Zidumu fikra za mwenyekiti.
Ubinafsi , uroho wa madaraka na kubebana hata kama sifa huna ndio vilivyopelekea kifo cha CCM mwaka huu .
Wajumbe wa kwanza kuipeleka CCM kibra ni kamati ya maadili Na Usalama .
Wajumbe wa pili ni kamati kuu wao ndio waliohakikisha CCM inakufa mwaka huu kwa kukiuka kwa makusudi kanuni ili tu wampitishe wamtakaye na kuwaacha watu wenye sifa na uwezo wa kuongoza.
Hatushangai ila malipo yake in hapa duniani kwa CCM kufa.
Zidumu fikra za mwenyekiti.