Wakuu habari za pilika za mchana kutwa . Leo mchana nimepigiwa simu kwa no. Ya zain nilipoipokea sauti ni ya kike ikinishawishi ninunue miziki kwa akupigiae,
nikakata sim cha ajabu ikaja meseji ikinitaarifu kuwa nimekatwa sh 400 kwa ajili ya mziki walinichagulia bila idhini yangu.
Sasa wadau nifanyeje ili nijitoe kwenye huduma hii ambayo siitaki
nikakata sim cha ajabu ikaja meseji ikinitaarifu kuwa nimekatwa sh 400 kwa ajili ya mziki walinichagulia bila idhini yangu.
Sasa wadau nifanyeje ili nijitoe kwenye huduma hii ambayo siitaki