FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Mimi sijaoa bado lakini jambo hili linanitatiza sana sijui nyie waungwana mnalionaje. Ni hivi kuna rafiki zangu waliooa wanasema kuwa eti ili mwanaume utulie kwenye ndoa yako ni lazima kabla hujaoa uwe umeshafanya ngono na Changudoa, Shoga, visichana vya under 18, mke wa mtu mwingine n.k ili ukiingia kwenye ndoa akili yako itulie na vyote hivi visikuzuzue, hii imekaaje jamani?
kuna watu vichwa vyao vina madudu