yani dijaielewa kabisa. unaweza kuta imejinstall yenyewe kwenye simu kisha inakukomand kufanya settings ambazo zinadisplay kwenye home screenna bila kuzikubali huwezi kuzitoa wala kufanya chochote kwenye hiyo simu. mfn. inakulazimisha kuactivat device administrator. kudiable system lock na mengine. wadau hii ipoje na kwann inajiinstall yenyewe kwenye simu? nijuzeni jamani kwa anaefahamu.