MwanzoMugumu
Member
- Jan 27, 2012
- 24
- 22
Wana JF wakati report za CAG zinaonesha kuliwa kwa fedha za walipa kodi kwa kiwango cha kutisha pengine tunaulizana kwamba hawa jamaaa wanazipeleka wapi pesa zetu??? Waziri mmoja amaejenga nyumba ya kutisha katika moja ya mitaa ya Jiji la Mwanza, Waziri huyu anatoka katika wizara moja nyeti. Tena waziri mwenyewe kijana. Tutafika jamani?????
tena waziri mwenyewe anapenda kunyoa '****'
Wana JF wakati report za CAG zinaonesha kuliwa kwa fedha za walipa kodi kwa kiwango cha kutisha pengine tunaulizana kwamba hawa jamaaa wanazipeleka wapi pesa zetu??? Waziri mmoja amaejenga nyumba ya kutisha katika moja ya mitaa ya Jiji la Mwanza, Waziri huyu anatoka katika wizara moja nyeti. Tena waziri mwenyewe kijana. Tutafika jamani?????
wee wanakudanganya usimtaje WILLIAM NGELEJA utakuwa hupati umeme kwakô,shauri yako,.watakuponza wana JF,fanya siri yako
wee wanakudanganya usimtaje WILLIAM NGELEJA utakuwa hupati umeme kwakô,shauri yako,.watakuponza wana JF,fanya siri yako