watu wanataka maendeleo wewe unalilia zawadi!
nikupe zawadi kwa kazi ipi uliyofanya? wakati mwingine muwe mnafikria beyond the sky..!
nchi yenyewe sasa hata amani hamna! kazi hamtaki kufanya..!! nchi ambayo ilikuwa katika top10 most peaceful countries, sasa iko nafasi ya 50 kuelekea chini!!
mpaka maendeleo katika individual level yanaletwa kisiasasiasa tu!
Sina shida sana na malalamiko yenu, ila naona mnatumia nguvu sana pasipo na tija (au impact) kuna issue za msingi inatakiwa tuelimishane na sio maamuzi ya Rais kuhusu mapumziko
Mapumziko ni kesho,kesho kutwa ni sikukuu kuunganika kwake ndio kumekupa shida ila watanganyika bwana mkiwa kazini mnatoroka mapema mkiambiwa mpumzike pia shida
Mkuu mimi hata holiday ikifika hadi Ijumaa poa tu
Unadhani hata tukienda job ndo kwaanza tunazidi kuwazalishia mafisadi
Weraaaa weraaaa.... Kufa kufaana,wengine huku kwetu ni kicheko maana ndio muda mzuri wa kutembelea na kukagua bustani zetu kuangalia kama palizi zimefanywa kwa umakini. TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE
Haswaaaaa
Mie nimefurahije
Maana shughuli binafsi zinaendelea i wish angesema tupumzike hadi alhamisi
Haswaaaaa
Mie nimefurahije
Maana shughuli binafsi zinaendelea i wish angesema tupumzike hadi alhamisi
Weraaaa weraaaa.... Kufa kufaana,wengine huku kwetu ni kicheko maana ndio muda mzuri wa kutembelea na kukagua bustani zetu kuangalia kama palizi zimefanywa kwa umakini. TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE
Aisee hata mimi nimeduwaa,..sasa cjui mapinduzi ni tarehe 12/01/1964 au tarehe 13/01/1964!...aise mtoto ameniswalika hapa cjui nimpe jibu gan??:sleep:
Wakenya wakitusema sisi wavivu tunakasirika.
iam bored DEMBA... kipato chenyewe hiki cha kulenga kwa manati! mtu tu from nowhere sijui magogoni anasema tu kesho na kesho kutwa mapumziko!!
hivi hayo mapinduzi yenyewe yako wapi?????????
mbona hatuyaoni? si hao hao ndio wanasema tutengane? si wantaka waende zao? wapeni nafasi wasije wakatunywesha sumu!!
by the way, haikuwa lengo hilo... mi ninachopinga ni hii misikukuu inayoingiliana na siku za kazi.! i hate them so much!!