Jamani hii nchi yetu vipi?

Jamani hii nchi yetu vipi?

excel

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
22,434
Reaction score
17,862
Habari zenu wana MMU... najua wengi mtasema hapa si mahala pake, lakini mimi naona ni sahihi kabibisa niiweke hii mada hapa kwa sababu nini mapenzi mema na nchi yangu!!

kwa kweli mimi ninachoshwa na hali hii tuliyonayo ya umasikini, badala ya watu kufanya kazi, tunatangaziwa kwamba kesho na keshokutwa ni holidays..! hivi kwa jinsi hii nchi itapiga hautua kweli katika kuyakimbiza maendeleo mbele?

hivi kuna haja gani kuwa na public holidays kwa siku mbili mfululizo? kwani siku ikisherehekewa mara moja kutatokea nini?

binafsi nimejisi vibaya sana niliposikia redioni wanatangaza kwamba kesho jumatatu na keshokutwa ni mapumziko!!

kwajinsi hii, hii nchi itaendelea kwa spidi mbovu sana... otherwise tuapply theory ya blodd and iron!

sijui kama nimeeleweka, ila nimechukizwa kwa hiki kitendo cha kesho na keshokutwa kwa kweli..!!
 
yaan mimi mwenyewe nimebaki hoi baada ya kusikia eti kesho tunapumzika kwa ajili ya siku ya mapinduzi ambayo imeadhimishwa leo.......
 
yaan mimi mwenyewe nimebaki hoi baada ya kusikia eti kesho tunapumzika kwa ajili ya siku ya mapinduzi ambayo imeadhimishwa leo.......

iam bored DEMBA... kipato chenyewe hiki cha kulenga kwa manati! mtu tu from nowhere sijui magogoni anasema tu kesho na kesho kutwa mapumziko!!

hivi hayo mapinduzi yenyewe yako wapi?????????
mbona hatuyaoni? si hao hao ndio wanasema tutengane? si wantaka waende zao? wapeni nafasi wasije wakatunywesha sumu!!

by the way, haikuwa lengo hilo... mi ninachopinga ni hii misikukuu inayoingiliana na siku za kazi.! i hate them so much!!
 
Last edited by a moderator:
Acheni tupumzike........tumechoka sana leo........mapinduzi yalikuwa moto moto kweli kweli........

hahahaaa!! unalo...! wala sio mapinduzi!
 
Hahahahahaaaa!
Kwaiyo na mimi nikiwa na mapenzi na uchumi nijeniweke macalculation yangu hata???
...
Anyway!
Tena holiday yenyewe kaitoa Dr. Shein!!!!!
 
Mapumziko ni kesho,kesho kutwa ni sikukuu kuunganika kwake ndio kumekupa shida ila watanganyika bwana mkiwa kazini mnatoroka mapema mkiambiwa mpumzike pia shida
 
iam bored DEMBA... kipato chenyewe hiki cha kulenga kwa manati! mtu tu from nowhere sijui magogoni anasema tu kesho na kesho kutwa mapumziko!!

hivi hayo mapinduzi yenyewe yako wapi?????????
mbona hatuyaoni? si hao hao ndio wanasema tutengane? si wantaka waende zao? wapeni nafasi wasije wakatunywesha sumu!!

by the way, haikuwa lengo hilo... mi ninachopinga ni hii misikukuu inayoingiliana na siku za kazi.! i hate them so much!!

hivi kwa nini hawa wameamua kesho iwe mapumziko? kwan tunapumzika nini hasa wakati mapinduzi yenyewe yalikuwa leo? yaani hapo ndio sijawaelewa
 
Nimekereka sana hii habari,Hakika inaonesha wazi viongozi wetu wameridhika na umasikini tulionao ndio maana wanataka tupumzike.
 
Hahahahahaaaa!
Kwaiyo na mimi nikiwa na mapenzi na uchumi nijeniweke macalculation yangu hata???
...
Anyway!
Tena holiday yenyewe kaitoa Dr. Shein!!!!!

hivi huyu ni Dr wa nini?

by the way, kwa nchi changa kama hii, kulikuwa na haja kabisa ya kuongeza masaa ya kufanya kazi..!

yani kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa moja jioni na si vinginevyo!! angalau hapa tungepiga hatua kubwa kiasi!

japo tuna changamoto katika vitendea kazi, lakini kuna haja ya kuongeza masaa ya kufanya kazi, halafu mshahara nao ulipwe kwa masaa sio mwezi! hii itawakamata wengi!
 
Acheni tupumzike........tumechoka sana leo........mapinduzi yalikuwa moto moto kweli kweli........

aahahaa mim hoi kwaio mapnduz yalikuwa moto had kutaka poo ya kesho ambayo ni (white monday) wengne huiita blue monday duu amakwel mapinduz yamefanyika
 
Nimekereka sana hii habari,Hakika inaonesha wazi viongozi wetu wameridhika na umasikini tulionao ndio maana wanataka tupumzike.

mkuu.. wao wana theory kwamba, umasikini ni wako.. si wao!

hii inakera sana wakati mwingine! ndio maana mi huwa nawaza kwamba, kuna haja ya kufanya revolution!!!

ndio...!!! nimesema governmental revolution..!! hawa waliopo hawajielewi kabisa!!! nchi hii iendeshwe kihitler zaidi ndio tutafika sasa!!

kwa mfano, huyu kiongozi wa korea, ameamuru mjomba wake aliwe na mbwa in public kwa kosa la rushwa!! sasa je, kwetu sisi.. huyu jamaa anaweza fanya hivi kweli??
 
hivi kwa nini hawa wameamua kesho iwe mapumziko? kwan tunapumzika nini hasa wakati mapinduzi yenyewe yalikuwa leo? yaani hapo ndio sijawaelewa

by the way! upumzike kwa lipi?

kwani mapinduzi yalifanywa ili upumzike?
 
hivi huyu ni Dr wa nini?

by the way, kwa nchi changa kama hii, kulikuwa na haja kabisa ya kuongeza masaa ya kufanya kazi..!

yani kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa moja jioni na si vinginevyo!! angalau hapa tungepiga hatua kubwa kiasi!

japo tuna changamoto katika vitendea kazi, lakini kuna haja ya kuongeza masaa ya kufanya kazi, halafu mshahara nao ulipwe kwa masaa sio mwezi! hii itawakamata wengi!

hahahaaa mkuu umenikumbusha ki2 hyo ya kulipwa kwa masaa iko ki sayansi zaidi kuna huyu mtu Fredrick Taylor anadai kuwa mtu alipwe kutokana na mda anaotumia kazin na sio zengwe znazofanyika ktk nch ye2 hii
 
Zawadi ni Zawadi jamani, hamuwezi kufurahia wote. Hivi kwani ukienda kufanya kazi kuna mtu atakuzuia. Kama kuna HR hapa aniambie ana ED/Ex use ngapi za kutokuja kesho kazini.
 
Its long weekend, kwa wengine ni raha especially walimu

wangekuwa wanalipwa kwa masaa ndio wangeona umuhimu wa kwenda kazini kesho na kesho kutwa!

imagine kama wages ingekuwa tshs 2100 kwa saa!

2100 x 16 ni sawa na Tshs 33600 kwa siku zote mbili.

je, ni mwalimu gani angekubali kukatwa kiasi hicho cha mshahara kwa sababu ya holiday?
 
hahahaaa mkuu umenikumbusha ki2 hyo ya kulipwa kwa masaa iko ki sayansi zaidi kuna huyu mtu Fredrick Taylor anadai kuwa mtu alipwe kutokana na mda anaotumia kazin na sio zengwe znazofanyika ktk nch ye2 hii

formula nzuri ya kuongeza performance na productivity pamoja na kujituma kazini.. ni hii ya kulipwa kwa masaa tu!!

ingia sign kwa mashine maalum, ukitoka nako unasign kwa mashine maalum, mojawapo niliyowahi ona ni ile ya kutumia fingerprint..

hapa sijui ruhusa unaiomba mashine ama nani? hahahaaa!! Tanzania bana!!
 
Zawadi ni Zawadi jamani, hamuwezi kufurahia wote. Hivi kwani ukienda kufanya kazi kuna mtu atakuzuia. Kama kuna HR hapa aniambie ana ED/Ex use ngapi za kutokuja kesho kazini.

watu wanataka maendeleo wewe unalilia zawadi!

nikupe zawadi kwa kazi ipi uliyofanya? wakati mwingine muwe mnafikria beyond the sky..!

nchi yenyewe sasa hata amani hamna! kazi hamtaki kufanya..!! nchi ambayo ilikuwa katika top10 most peaceful countries, sasa iko nafasi ya 50 kuelekea chini!!

mpaka maendeleo katika individual level yanaletwa kisiasasiasa tu!
 
Back
Top Bottom